Recent content by nature revo

  1. N

    Viongozi wa dini kemeeni watoto wa kike waliokwenda JKT kudhalilishwa

    umemaliza,wazazi wote wangekuwa kama wewe hii nchi ingenyooka.
  2. N

    Kesho ni zamu ya Profesa Mwesiga Baregu

    safi,majibu mazuri kwa huyo kilaza
  3. N

    Lissu awalipua mawaziri, wabunge kwa unafiki wao kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii

    wewe hata wakiweka hayo majina utakanusha kana kwamba waga wakipiga dili wanakugawia.
  4. N

    Ni upi msimamo wa taasisi za kiislamu kwa vitendo vya boko haram?

    umesha jijibu mwenye ulipotaja Boko haramu kuwa ni kikundi cha kiislam.unadhani mtu anaweza kutoa kauli wakati huohuo akaipinga?
  5. N

    A.C.T kupata usajili wa kudumu Jumatatu, Mei 5, 2014

    hahahaa..naona mnaliwazana lakini mkae mkijua kuwa ukawa imewakalia shingoni hamfurukuti.chezea mbowe ww!
  6. N

    Yaliyojiri katika Mkutano wa UKAWA - Kibandamaiti, Zanzibar

    sasa mbona watu ni kiduchu,au ndo maandalizi mkutano bado?
  7. N

    Mh. Jaji Warioba kuunguruma leo ITV

    warioba ni mtu pekee aliyebaki ccm anayeweza kusema ukweli bila kufuata mkumbo waliyojiwekea chama tawala wa kupinga ukweli unaoonekana wazi,heko Warioba.
  8. N

    Tamko la wapemba waishio Tanzania bara kuhusu Muungano

    umenena mkuu kila mtu akae kwake hizi ni nchi mbili tofauti.
  9. N

    Tanganyika imerudi

    ndiyoo...
  10. N

    PICHA: Tukio la DR Hamis Kiwangala alivyo tiwa mbaroni huko NZEGA

    he! kumbe police waga wanawakamata na wenzao ccm?
  11. N

    Yaani chadema bora waondoke tu kalenga.

    wananchi wa kalenga ni mabogasi!
  12. N

    Yaliyojiri: Uzinduzi wa kampeni za CHADEMA jimbo la Kalenga

    tulia mtoto wa kike,jifuze uelewe mambo acha kufata mkumbo utaumbuka!
  13. N

    Yaliyojiri: Uzinduzi wa kampeni za CHADEMA jimbo la Kalenga

    fanya faster,weka picha hapa hakunaga saund za kizushi.
Back
Top Bottom