Kuna jamaa yangu yupo Mtwara- Newala mjini Idara secondary anatafuta Mwalimu wa kubadilishana nae kati ya Morogoro, Tanga au Moshi mjini. Nitafute 0718349776
Kuna Mdogo wangu yupo Njombe mjini anataka kubadilisha na mtu aliyopo Mkoa wa Kilimanjaro na Hisiwe wilaya ya same. Na hata kama upo Mkoa wa Arusha Idara secondary nitafute kwenye nambar 0718349776
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.