Recent content by nathankonga2

  1. N

    Kero: Vodacom, kabla ya tarehe 26 mwezi huu, nitakuwa nimeivunja line yenu

    siyo kawaidayangu kuchangia mada ila hii imenigusa huwa najiunga navifulushi vya mweze au chawiki lakini huwa kuna salio lavocha huwa nabakisha kwaajili ya kutumia sim bank lakini hata uache elf 5 baada yasiku chahe utakuta washa kwapua hizo vocha jalibu kuacha huo udokozi
  2. N

    Basi la Majinja lagongana uso kwa uso na Lori, Kontena laangukia Basi

    kwamaeneo ilipo tokea ajali ni sehemu ambayo nimbaya sana kuna vijishimo vingi barabarani kama unakuwa mwendo mkali nilahisi kutokea chocho
  3. N

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Kwakeli sikuhizi namna wanavyo kata hela kwenye sim haya eleweki kabisa
Back
Top Bottom