Ccm ni genge kama magenge mengine! tusidanganyike watz! mapombe aweza kuwa mzur lkn ametoka chama cha mafis. naye ni kafis kadogo katakuwa kakubwa, hatari!
dunia kote taasisi yoyote,nchi yoyote huwa ina viongozi ambao ni nguzo na mihimili ya taasis husika.wakati fulan mwl nyerere alitishia kurudisha kadi ya ccm kama waliokuwa viongoz wakubwa ndan ya serikali wasingejiuzuru au kuondolewa kwenye nafas zao.ccm walibid waufyate kwa kuwa nyerere alikuwa...
ni kweli aisee maana mbowe,slaa,mnyika,rwakatale,lisu,sugu,nasari,v.nyerere,msigwa, marando,baregu,akunay,rwamulaza,arfi,kahigi,wote wanatoka kabila moja!!
kweli kama ulivyosema wewe ni mbumbumbu na kweli ulidesa! sasa kama katiba iliyobadilishwa ndo alopelekewa msajiri, na muhtsar ulieleza madiliko ya katiba, shida iko wapi we mburura?
sita, ufisadi, 7. mauaji ya raia wasokuwa na hatia, 8. kuweka kando katiba ya nchi na kuongoza nchi kishikaji, 9. kurithishana vyeo ie baba na mtoto,wajomba,shangazi, nk
[Q
UOTE=Mamndenyi;9914949]Hauelewi swali? Acha kukurupuka.
amekujibu sawasaw na upumbavu wako! wewe ndo umekurupuka! au ulitaka aseme hajazaa na mshumbus bali amezaa na mke wa baba yako maana umemtambua kwa kuzaa na wake za watu?
nyerere alikiambia kikao cha cc ya ccm 1995 kwamba kama jina la lowasa limo kwenye list ya wanaoenda kujadiliwa yeye asingeudhuria kikao hicho! badae el akasema amechafuliwa,nyerere akaomba cc ya Ccm iitwe kwa gharama zake na EL aitwe asafishwe jamaa EL akaingia mitini! orodha ya mafisad 11 ya...
wakat mwingine mtu ukijivua nguo alaf watu wakasema huyu jamaa yuko uchi, wanakua wamekosea? kutwambia lowasa anafaa kua rais ni sawa na kujivua nguo mwenyewe! the guy is known many tanzanians that he is dirty and he is unwashable! huo ndo ukweli mchungu!
what do you mean? you want to tell me that lowasa a corrupt guy, is a right person to be our coming president? he was for the first time rejected by nyerere because if corrupt elements! it a wastage of time to think even about him!
hivi watz tulilogwa na mchawi gan jamani? inakuwaje watu wanaojiita great thinkers wakae na kumsifia jambaz alowaibia raslimali nyingi? tumerogwa na nani huyu? au kuna machiz fulan wameamua kudhibiti
sha uchiz wao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.