Mkuu sasa kama wananchi ndio tutatakiwa kutoa majibu ya changamoto zetu, hiyo serikali kazi yake nini. Hayo uliyoyasema yote kuna watendaji uko serikalini wanalipwa pesa nyingi ili walete majibu.
Sema bongo mapinduzi mnayachukulia poa sana. Mimi tangu nikiwa mdogo nilikua naona watuumiwa wa uasi ni wanajeshi wa ngazi za juu hata ukiwacheki unaona ni mijitu imeshiba mwenyewe kimoyo moyo unasema huyu kweli mwanamapinduzi. Sasa bongo wahaini wetu eti mange kimambi na niffer.
Muswaada ukipita, kiuchumi nini sisi huku chini ndio tutaumia zaidi. Tabaka tawala litakua la mwisho kuguswa. Labda itasaidia raia kuungana maana watafikiwa wengi
Katika hiyo hesabu yako umesahau kwamba, inabidi na mwanamke mwenyewe ajiweke kwenye mazingira ya kutongozwa.
Mwanamke ambae ameolewa akijiwekea standards mfano mavazi ya heshima, mitoko ya lazima tu, kutowaachia wanaume uhuru wa kumsogelea, matumizi mazuri ya mitandao n.k mbona unaweza kupita...
Kwamba kila ukienda kijijini uwanunulie nguo,kwa uchumi gani mkuu. Hata wakati bado nipo home dogo alikua akipitia kabatini kwangu kuna nguo kaielewa ananiambia bro hii niachie au kiatu changu kakielewa ananiomba. Sasa kama mdogo ako unamuachia tu kuna ubaya gani ukiwapelekea ndugu wenye uhitaji...
Kibongo bongo changamoto ni nyingi. Kama una nafasi ya kusaidia msaidie tu ambaye anahitaji msaada kwenye cycle yako. Haya mambo ya kushirikiana utaishia kuwa disappointed tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.