Recent content by Natafuta Ajira

  1. Natafuta Ajira

    Nilifiwa na ndugu yangu lakini Ile sehemu ya kushea maiti pale mochwari palikuwa na shanga nyingi sana

    Nimemzika kaka na baba. Mimi ndio niliepeleka mahiti mochwari. Taratibu zote za kupokea na kuoshwa nilizisimamia. Ninachojua kama kuna chochote cha kumvua marehemu basi nitaona na kupewa mimi. Kuoshwa mahiti ya mwanamke hapo sijui.
  2. Natafuta Ajira

    JamiiForums Usiku wa manane

    Nipo mbezi qb lounge. Mfukoni nina pesa nyingi kama serikali. Kama kuna mwanajf yoyote ambae yupo around asogee hapa. Gharama zote za usafiri(wa kuja na kuondoka), chakula na vinywaji ni juu yangu
  3. Natafuta Ajira

    Kwanini 'Wajinga' wanatoboa kimaisha haraka kuliko sisi 'Great Thinkers’?

    Mpaka akaweza kutengeneza hela huyo sio mjinga. Kuna maarifa na taarifa ameweza kuzielewa kwa ufasaha. Labda kama wajinga uliomaanisha wewe ni wale ambao hawajasoma, walifeli darasani au wameamua kutafuta hela kwa njia ya kujizima data(mfano huyo mwijaku na baba levo). Hao wote sio wajinga...
  4. Natafuta Ajira

    Viongozi wa Bunge wanapaswa kuwa wenye afya njema, mkiweka vimeo mtalitia hasara Taifa

    Matibabu ya viongozi ni gharama kubwa sana na yanagharamiwa kwa pesa ya walipa kodi. Tukipeleka bungeni wenye afya njema tutaokoa hizo gharama
  5. Natafuta Ajira

    15 Zimbabweans Killed After Being Lured Into Russia-Ukraine War, 66 Still Trapped in Conflict

    Nemes nimesoma nae shule ya msingi. Alienda Russia kusoma akapata kazi uko. Wakati wote tulikua tunawasiliana. Kilipita kipindi cha kama miezi 7 hivi alikua hapatikani kwenye mawasiliano yake yote. Ndio nikaja kupata taarifa jamaa amefia vitani. Alifungwa kwa kosa la kuuza madawa ya kulevya...
  6. Natafuta Ajira

    15 Zimbabweans Killed After Being Lured Into Russia-Ukraine War, 66 Still Trapped in Conflict

    Tayari vijana wa kitanzania wapo huko. Nemes Tarimo alikufa kwenye hiyo vita. Sidhani kama ndio atakua mtanzania pekee
  7. Natafuta Ajira

    Hakika msioe, ndoa imeangamiza ndoto na ndoa ni Janga

    Ndoa misingi ya ndoa ilijengwa kupitia utiifu wa mke na uwezo wa mume kutunza familia. Mwanaume anasimama kama kiongozi na mwanamke mfuasi. Kwa sasa mtindo huo wa maisha haupo. Tumeshatengeneza mifumo ambayo mwanaume hawezi kuwa kiongozi tena na mwanamke kuwa mtiifu ni hiyali yake tu sio...
  8. Natafuta Ajira

    Nahisi mikoa hii haijafanikiwa kutoa vijana maarufu kitaifa walio chini ya miaka 40

    Kwa aina ya umaarufu ulioangazia wewe watu wa mkoa wa Mara sio rahisi kuwepo
  9. Natafuta Ajira

    Nahisi mikoa hii haijafanikiwa kutoa vijana maarufu kitaifa walio chini ya miaka 40

    Katika nyanja ulizozi-specialize mkoa wa Mara hauna watu maarufu kitaifa, lakini kwenye nyanja zingine mfano uongozi, jeshini wapo.
  10. Natafuta Ajira

    Nahisi mikoa hii haijafanikiwa kutoa vijana maarufu kitaifa walio chini ya miaka 40

    Huyu anataka umaarufu wa aina ya wakina mwijaku na gigy money. Kwamba mjaluo au mkurya awe chawa, akate viuno au aimbe nampa papa
  11. Natafuta Ajira

    Nahisi mikoa hii haijafanikiwa kutoa vijana maarufu kitaifa walio chini ya miaka 40

    Jide kapata umaarufu akiwa under 40.
  12. Natafuta Ajira

    Hakika msioe, ndoa imeangamiza ndoto na ndoa ni Janga

    Wanawake na wanaume wote tuna flaws zetu, lakini pia ndoa kama ndoa nayo ina changamoto zake. Tushafika kwenye nyakati ambazo ndoa kama taasisi misingi yake haiendani na wakati tuliopo.
  13. Natafuta Ajira

    Ushauri kwa wanaume?

    Kama motivation ya kutafuta hela ni mademu basi hizo hela bora usizitafute. Boresha maisha yako, automatically mambo mengine yatakaa kwenye mstari. Kuanzia heshima unayoipata, urahisi wa kupata unachohitaji, mahusiano n.k
Back
Top Bottom