Anafanya zaidi hivi akiwa mbele ya kamera. Ni namna fulani tu kaamua kujitafutia utambulisho/utofauti kiumaarufu., huwa namuona mara nyingi tu maeneo yake ya kumwagilia moyo anacheza zake pool table akiwa kavaa sendozi.
Kweli mkuu, tuna kasumba ya kuamini kila mtu lazima aanze maisha 0, kila mtu lazima ataabike kwenye utafutaji. Ni roho ya kisasi tu kwamba kama mimi nimefanikiwa kwa shida basi ni lazima anaenifuata nae afanikiwe kwa shida. Hata maofisini hali ni iyo iyo kama supervisor wako hakua analipwa...
Farid mussa na gift fred ni wa kuondoka mwamnyeto na kibwana shomari wapewe muda wa kujitafakari pia umemsahau sure boy, umri umeshaenda na kashindwa kuingia kwenye mfumo wa kocha apewe thank you tu kuna nkane pia kama ahitajiki angeachwa tu akacheze kwengine
Bingwa wa CAF champions league ana tiketi ya moja kwa moja bila kujali ranks.. yule refa alitufanyia umafia sana kule south afrika, timu zilizobaki semis zote tunazimudu, tulikua tunaenda kukipiga na wakina man city.
Acha tu rafiki yangu. Zamani hadhi ya demu awe bikira, ana nidhamu na mtiifu ila saiv unakuta demu mdangaji ana ma-ex 15+, K ipo nyang'ang'anya yaani ukiangalia kila kigezo mwanaume ndio upo juu yake kithamani lakini cha kushangaza vijana wanajishusha mpaka unashangaa ni upumbavu, ushamba wa K...
Kuna operation costs hapa haujazingatia hao watu wa masaki nyanya watanunulia super market ambapo ili uweze kuwafikia utahitaji kutumia gharama kubwa sana(kupanga sehemu kwenye mall, kodi, vibali n.k) tofauti na hao wa tandale ambao wanakuja gengeni kwako. Kwaiyo inawezekana uyo anaewauzia wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.