Nyie walimu ndio mnatakiwa kuachana na huo utaratibu wa kutoa homework. Tenga hata dakika 10 za kutoa maswali ya ulichofundisha kwa siku hiyo.
Tunalipa ada ili mambo ya shule mmalizane na watoto uko uko shule. Mtoto akifika nyumbani anatakiwa kupata muda wa kupumzika, kucheza na wenzake pamoja...
Jazba ni kitu cha papo kwa hapo. Dokta hakutoka tu nyumbani kwake akiwa na lengo la kutembeza kichapo kwa trafiki atakaekutana nae barabarani. Alichokifanya dokta ni kama tu hayo maandamano unayosema unayaunga mkono. Kila mtu ana kikomo cha uvumilivu. Kila mtu ana insanity spot yake...
Tatizo sio usawa, tatizo ni kuchagua chagua vipengere vya huo usawa. Kwa ninavyoelewa mimi, wanawake hawataki usawa wa kijisnia(gender equality) isipokua wanataka nguvu ya kuchagua ni wapi na kwa namna gani wawe sawa na mwanaume(selective equality) . Kama mnataka usawa kwa ujumla wake haitaleta...
Atafungua dispensary yake, sio lazima aajiriwe. Kila mtu anajua athari za kujitoa muhanga lakini haya mamno ili yaishe lazima wachache wakubali hizo shuruba. Bila shaka hata huyu trafiki hawezi tena kurudia tabia yake ya kufokea watu wazima kama watoto na kuchomoa funguo ya gari. Polisi nao...
Wanawake wa kisasa wengi wanachokiita standards ni mipaka tu ambayo wanaiweka ili wasisogelewe na wanaume wasiokua na hela. Kwa lugha ya kisasa tunasema wanakuza brand. Lakini kwa mwanaume mwenye hela hizo standards zao ni useless tu. Mwanaume awe irresponsible, womenizer, cheater, drug dealer...
Prida hajahalalisha usaliti. Usaliti sio mzuri ukifanywa na yoyote lakini ukweli ni kwamba athari zake ni tofauti unapofanywa na mume na unapofanywa na mke. Chanzo cha utofauti huo ni uwekezaji ambao mwanaume anabebeshwa kuanzia mwanzo wa mahusiano. Mifano ipo wazi sijui ni umeamua tu kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.