Nimemzika kaka na baba. Mimi ndio niliepeleka mahiti mochwari. Taratibu zote za kupokea na kuoshwa nilizisimamia. Ninachojua kama kuna chochote cha kumvua marehemu basi nitaona na kupewa mimi.
Kuoshwa mahiti ya mwanamke hapo sijui.
Nipo mbezi qb lounge. Mfukoni nina pesa nyingi kama serikali. Kama kuna mwanajf yoyote ambae yupo around asogee hapa. Gharama zote za usafiri(wa kuja na kuondoka), chakula na vinywaji ni juu yangu
Mpaka akaweza kutengeneza hela huyo sio mjinga. Kuna maarifa na taarifa ameweza kuzielewa kwa ufasaha.
Labda kama wajinga uliomaanisha wewe ni wale ambao hawajasoma, walifeli darasani au wameamua kutafuta hela kwa njia ya kujizima data(mfano huyo mwijaku na baba levo). Hao wote sio wajinga...
Nemes nimesoma nae shule ya msingi. Alienda Russia kusoma akapata kazi uko. Wakati wote tulikua tunawasiliana. Kilipita kipindi cha kama miezi 7 hivi alikua hapatikani kwenye mawasiliano yake yote. Ndio nikaja kupata taarifa jamaa amefia vitani.
Alifungwa kwa kosa la kuuza madawa ya kulevya...
Ndoa misingi ya ndoa ilijengwa kupitia utiifu wa mke na uwezo wa mume kutunza familia. Mwanaume anasimama kama kiongozi na mwanamke mfuasi.
Kwa sasa mtindo huo wa maisha haupo. Tumeshatengeneza mifumo ambayo mwanaume hawezi kuwa kiongozi tena na mwanamke kuwa mtiifu ni hiyali yake tu sio...
Wanawake na wanaume wote tuna flaws zetu, lakini pia ndoa kama ndoa nayo ina changamoto zake. Tushafika kwenye nyakati ambazo ndoa kama taasisi misingi yake haiendani na wakati tuliopo.
Kama motivation ya kutafuta hela ni mademu basi hizo hela bora usizitafute. Boresha maisha yako, automatically mambo mengine yatakaa kwenye mstari. Kuanzia heshima unayoipata, urahisi wa kupata unachohitaji, mahusiano n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.