Recent content by Natafuta Ajira

  1. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Ilikuwaje baada ya kwenda kumuona mtoto wako wa nje?

    Wenye mpango wa kuoa single mother kuleni chuma hicho
  2. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Hauna uhalali wa kumpangia matumizi ya viungo vyake, lakini una uhalali wa kumkataa kama amevitumia kwa namna isiyokupendeza
  3. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Mwanamke ana haki ya kuliwa kabla ya kuolewa, na mwanaume pia ana haki ya kumkataa mwanamke alieliwa ukifika wakati wa kuoa
  4. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Huu ni uongo. Linapokuja suala la kusettle historia ya mwanamke inamuhukumu. God can forgive her past, and that's God's business. But if you would marry her, that's your business, not God's. A man can respect woman's transformation and still refuce to make her his wife. Marriage is not a charity...
  5. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Wanawake wa kisasa wengi kwa sasa ndoa ni retirement plan. This is the trick modern society wants men to swallow: a woman is free to make every reckless choice in her youth, but when she is ready to settle, a disciplined man must not ask questions. If he ask he is judgemental. If he refuces he...
  6. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Ni kweli, aliekata utepe huwa haondoki akilini
  7. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Kila anachovaa mwanamke siku ya harusi kina maana yake. -vazi jeupe ni ishara ya usafi. Kwamba mwanamke bado hajaguswa -shela ni bikira kwamba bado yupo sealed na baada ya kula kiapo mume anaruhusiwa kumfunua shela mkewe na kumbusu hii maana yake ndio mwanaume wa kwanza kupewa kibali cha...
  8. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Kujieleza sana ni dalili ya udhaifu
  9. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Labda umuwekee picha tundu lililopigwa na ambalo halijapigwa linakuaje
  10. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Ndio mkuu, wanawake wa kisasa wamekalili kwamba wana haki ya kutumia uhuru wao wa kufanya ngono vile watakavyoamua wenyewe(haki ambayo mimi nakili ni kweli wanayo). Halafu katika point yoyote ya maisha wakiamua kuachana na huo uhuru wa kufanya ngono kiholela holela basi ni shurti kila mwanaume...
  11. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Sasa wikiend itaisha vipi bila kutibua nyongo za watu. Kukaa bar kunywa bila kuanzisha kaugomvi kidogo ni matumizi mabaya ya kilevi
  12. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Kila mtu ashinde mechi zake
  13. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Aliekuchezea ni mawanaume aliekutoa bikira na akukuoa, sio waliofuata baada ya hapo. Kwahiyo kama hao aliokutana nao hawakua bikira bado ana haki ya kuweka kigezo cha bikira kwa mwanamke atakaemuoa
  14. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Past ya mwanaume sio kipengere if currently he is stable financially. Labda kama alikua shoga hapo ndio wasifu wake hausafishiki tena
  15. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Dunia haipo fair kwa kila mtu. Wrong place at wrong time, ni situation ambayo imeumiza mpaka wasio na hatia. Lakini ndio hivyo tena aliekutwa na uthibitisho ndio mwizi
Back
Top Bottom