Huu ni uongo. Linapokuja suala la kusettle historia ya mwanamke inamuhukumu. God can forgive her past, and that's God's business. But if you would marry her, that's your business, not God's. A man can respect woman's transformation and still refuce to make her his wife. Marriage is not a charity...
Wanawake wa kisasa wengi kwa sasa ndoa ni retirement plan. This is the trick modern society wants men to swallow: a woman is free to make every reckless choice in her youth, but when she is ready to settle, a disciplined man must not ask questions. If he ask he is judgemental. If he refuces he...
Kila anachovaa mwanamke siku ya harusi kina maana yake.
-vazi jeupe ni ishara ya usafi. Kwamba mwanamke bado hajaguswa
-shela ni bikira kwamba bado yupo sealed na baada ya kula kiapo mume anaruhusiwa kumfunua shela mkewe na kumbusu hii maana yake ndio mwanaume wa kwanza kupewa kibali cha...
Ndio mkuu, wanawake wa kisasa wamekalili kwamba wana haki ya kutumia uhuru wao wa kufanya ngono vile watakavyoamua wenyewe(haki ambayo mimi nakili ni kweli wanayo). Halafu katika point yoyote ya maisha wakiamua kuachana na huo uhuru wa kufanya ngono kiholela holela basi ni shurti kila mwanaume...
Aliekuchezea ni mawanaume aliekutoa bikira na akukuoa, sio waliofuata baada ya hapo. Kwahiyo kama hao aliokutana nao hawakua bikira bado ana haki ya kuweka kigezo cha bikira kwa mwanamke atakaemuoa
Dunia haipo fair kwa kila mtu. Wrong place at wrong time, ni situation ambayo imeumiza mpaka wasio na hatia. Lakini ndio hivyo tena aliekutwa na uthibitisho ndio mwizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.