Recent content by Natafuta Ajira

  1. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Kwamba huwa hamuwezi kukataa
  2. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Wanawake wa kisasa wanawapenda sana wanaume kama nyie. Huwa wanawaita wanaume wa kweli au wanaume waelewa. Huwa wanatumia kama retirement plan, wakishamalizana na kila kitu
  3. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Mimi nitalaumu mwanaume ambae amewatoa bikira wanawake na kuwaacha, lakini kama wanawake unaokutana nao tayari washatumika ukipiga na kusepa hauna hatia yoyote. Taking into account, sio wanaume wote wanakutana na bikira kwenye historia ya mahusiano yao. Tusiwabebeshe wanaume wema makosa ya...
  4. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Mwanamke ni gatekeeper wa sex. Hakuna kinachoweza kufanyika bila idhini yake, labda awe amebakwa. Sasa kama thamani yake ipo kwenye kujitunza na anachanua mapaja kwa hiyari yake hapo ni yeye ndie atakaewajibika
  5. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Suala sio kutoka na wanawake, suala ni unatoka na kundi lipi la wanawake? Kama bado unataka kuendelea kucheza recklessly lipo kundi la single mothers, feminists, wanawake wa bar, wadangaji, vidada vya mjini vyenye tamaa n.k cheza recklessly kwenye hiyo pool. Bikira sio uwanja wa majaribio. Huyo...
  6. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana
  7. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Halafu ukute mke mwenyewe alishawahi kwenda kwenye house party..... ni hatari.
  8. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Sasa jmosi itaisha vipi bila kuharibu wikiend za watu. Kunywa bia bila kuanzisha ugomvi ni matumizi mabaya ya kilevi
  9. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Hata shekh asisumbuliwe. Hapo ni mwendo wa sogea tuishi tu
  10. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Wewe hauini shida kuoa used, lakini kuna mwingine kwake hicho ni kipengere, na sio kweli sababu ni umimi. Zipo sababu nyingi sana za kiroho, kijamii na kisaikolojia. Kiroho mwanamke ambaye umekutana nae ashatumika hawezi kuwa mke wako. Katikaulimwengu wa kiroho uyo ni mke wa mwanaume aliemtoa...
  11. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Mungu alimuumba binadamu?

    Sasa kama haikua necessary kutuumba ila alitaka kudhihirisha tu uwezo wake si ndio show off hiyo
  12. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Mwanamme ukisha make it usisettle na broke women

    Kwani mlishawahi kukubali?
Back
Top Bottom