Recent content by Natafuta Ajira

  1. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Ila wanawake wa Dar ni kiboko

    Kama kawaida, jf kila mtu kwenye pilika pilika zake huwa anakutana na pisi kali tu
  2. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Kupuuza Sauti za Vijana leo ni kutengeneza mgogoro wa Taifa Kesho

    Ni kweli kutoa ushauri na mapendekezo sio dhambi.
  3. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Kupuuza Sauti za Vijana leo ni kutengeneza mgogoro wa Taifa Kesho

    Mkuu sasa kama wananchi ndio tutatakiwa kutoa majibu ya changamoto zetu, hiyo serikali kazi yake nini. Hayo uliyoyasema yote kuna watendaji uko serikalini wanalipwa pesa nyingi ili walete majibu.
  4. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Kupuuza Sauti za Vijana leo ni kutengeneza mgogoro wa Taifa Kesho

    Kwahiyo hakuna maana ya vijana kusikilizwa au kupewa nafasi?
  5. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na ukimya wa viongozi wa kijamii: Je, Tanzania inaingizwa kwenye mtego wa machafuko ya kisasa? Kina Pasco Mayalla wako wapi?

    Sema bongo mapinduzi mnayachukulia poa sana. Mimi tangu nikiwa mdogo nilikua naona watuumiwa wa uasi ni wanajeshi wa ngazi za juu hata ukiwacheki unaona ni mijitu imeshiba mwenyewe kimoyo moyo unasema huyu kweli mwanamapinduzi. Sasa bongo wahaini wetu eti mange kimambi na niffer.
  6. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    Muswaada ukipita, kiuchumi nini sisi huku chini ndio tutaumia zaidi. Tabaka tawala litakua la mwisho kuguswa. Labda itasaidia raia kuungana maana watafikiwa wengi
  7. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    Sio rahisi kihivyo. Wanamtandao wangemuwahi
  8. Natafuta Ajira

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni mnipe sifa za mgogo?

    Unataka kuoa au hit and run? Usije tu ukatengeneza single mother mwingine. Waliopo mtaani wanatosha
  9. Natafuta Ajira

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo nimejichanganya kwa malaya Kahama

    Sasa unawabishia wakongwe. Wapo wanaouza road 5k halafu ukimkuta mtandaoni anakwambia laki
  10. Natafuta Ajira

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo nimejichanganya kwa malaya Kahama

    Bei elekezi sokoni. Show time 5k,kulala 20k
  11. Natafuta Ajira

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo nimejichanganya kwa malaya Kahama

    Chai za wanajf utaziweza ndugu yangu. Humu kila mtu anapiga malaya wa kuanzia laki na kuendelea.
  12. Natafuta Ajira

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa takwimu hizi usaliti, kama una roho ya kushindwa kustahimili maumivu ni bora kwako usioe

    Katika hiyo hesabu yako umesahau kwamba, inabidi na mwanamke mwenyewe ajiweke kwenye mazingira ya kutongozwa. Mwanamke ambae ameolewa akijiwekea standards mfano mavazi ya heshima, mitoko ya lazima tu, kutowaachia wanaume uhuru wa kumsogelea, matumizi mazuri ya mitandao n.k mbona unaweza kupita...
  13. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Natamani Watanzania tuanzishe Sanduku la kuchangia nguo tusizozitumia kwa wenye uhitaji

    Kwamba kila ukienda kijijini uwanunulie nguo,kwa uchumi gani mkuu. Hata wakati bado nipo home dogo alikua akipitia kabatini kwangu kuna nguo kaielewa ananiambia bro hii niachie au kiatu changu kakielewa ananiomba. Sasa kama mdogo ako unamuachia tu kuna ubaya gani ukiwapelekea ndugu wenye uhitaji...
  14. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Natamani Watanzania tuanzishe Sanduku la kuchangia nguo tusizozitumia kwa wenye uhitaji

    Vijijini wanavaa. Tena ukiwapelekea wanashukuru kabisa.
  15. Natafuta Ajira

    JamiiForums Tanzania Natamani Watanzania tuanzishe Sanduku la kuchangia nguo tusizozitumia kwa wenye uhitaji

    Kibongo bongo changamoto ni nyingi. Kama una nafasi ya kusaidia msaidie tu ambaye anahitaji msaada kwenye cycle yako. Haya mambo ya kushirikiana utaishia kuwa disappointed tu
Back
Top Bottom