Recent content by Natafuta Ajira

  1. N

    Utafiti: Ndoa nyingi zimeshakufa ingawa watu bado wanaishi kama mke na Mume

    Uyo ndugu yetu humu ndani tumejitahidi kumuelewesha kwa muda mrefu sana lakini tumeshindwa, nimefarijika sana kuona kajibiwa hivi na mwanamke.
  2. N

    Rekodi ya kuuza copy nyingi, nani mkweli, Mr. Nice niliuza nakala 1.7 mil, feruzi 200k ndani ya wiki?

    Mkuu unajua maana ya album kwenye insustry ya mziki? Album ya feruzi naijua moja tu ile ya safari nakumbuka cassete yake nilikua nayo
  3. N

    Mrisho Mpoto anapata tabu sana kutembea peku

    Anafanya zaidi hivi akiwa mbele ya kamera. Ni namna fulani tu kaamua kujitafutia utambulisho/utofauti kiumaarufu., huwa namuona mara nyingi tu maeneo yake ya kumwagilia moyo anacheza zake pool table akiwa kavaa sendozi.
  4. N

    Mirathi ya Celebrities Bongo kizungumkuti

    Kweli mkuu, tuna kasumba ya kuamini kila mtu lazima aanze maisha 0, kila mtu lazima ataabike kwenye utafutaji. Ni roho ya kisasi tu kwamba kama mimi nimefanikiwa kwa shida basi ni lazima anaenifuata nae afanikiwe kwa shida. Hata maofisini hali ni iyo iyo kama supervisor wako hakua analipwa...
  5. N

    Niskilizeni mimi, wachezaji hawa yanga waachwe/wabaki

    Farid mussa na gift fred ni wa kuondoka mwamnyeto na kibwana shomari wapewe muda wa kujitafakari pia umemsahau sure boy, umri umeshaenda na kashindwa kuingia kwenye mfumo wa kocha apewe thank you tu kuna nkane pia kama ahitajiki angeachwa tu akacheze kwengine
  6. N

    FIFA wanaua soka, Kila timu inayoshiriki kombe la dunia la vilabu kupewa takribani shilingi bilioni 130, Mpira wa Afrika unaenda kuwa farmers league

    Bingwa wa CAF champions league ana tiketi ya moja kwa moja bila kujali ranks.. yule refa alitufanyia umafia sana kule south afrika, timu zilizobaki semis zote tunazimudu, tulikua tunaenda kukipiga na wakina man city.
  7. N

    Lile ni goal au siyo goal?

    Leo sio goli ila na mamelod sundowns lilikua goli halali kabisa
  8. N

    Kikao cha dharula; Wanaume wenzangu hebu njooni kidogo tusemezane kidogo

    Acha tu rafiki yangu. Zamani hadhi ya demu awe bikira, ana nidhamu na mtiifu ila saiv unakuta demu mdangaji ana ma-ex 15+, K ipo nyang'ang'anya yaani ukiangalia kila kigezo mwanaume ndio upo juu yake kithamani lakini cha kushangaza vijana wanajishusha mpaka unashangaa ni upumbavu, ushamba wa K...
  9. N

    Kikao cha dharula; Wanaume wenzangu hebu njooni kidogo tusemezane kidogo

    😀😀😀😀 anataka mtu wa kurefusha uzi hapa
  10. N

    Je, Harry Kane atamaliza gundu la makombe Bayern?

    Bayern akikaza anabeba uefa
  11. N

    Kwanini Man City atolewe wakati alipata goli nyingi ugenini?

    Sheria ya goli la ugenini imeondolewa
  12. N

    Kwanini Man City atolewe wakati alipata goli nyingi ugenini?

    Kwani ungemjibu tu swali lake kistaarabu ungepungukiwa nini?
  13. N

    Nyie watanzania ni lini mtaacha tabia zenu za kibaguzi dhidi ya wahitimu ya digiriiii?

    Siasa na uchawa ni janga jingine ambalo linaimaliza nchi mkuu.
  14. N

    Nyie watanzania ni lini mtaacha tabia zenu za kibaguzi dhidi ya wahitimu ya digiriiii?

    Kuna operation costs hapa haujazingatia hao watu wa masaki nyanya watanunulia super market ambapo ili uweze kuwafikia utahitaji kutumia gharama kubwa sana(kupanga sehemu kwenye mall, kodi, vibali n.k) tofauti na hao wa tandale ambao wanakuja gengeni kwako. Kwaiyo inawezekana uyo anaewauzia wa...
  15. N

    Nyie watanzania ni lini mtaacha tabia zenu za kibaguzi dhidi ya wahitimu ya digiriiii?

    Sijawahi kujua kama kuna degree ya ngoni migration. Inafundishwa chuo gani hii mkuu?
Back
Top Bottom