Wanawake wa kisasa wanawapenda sana wanaume kama nyie. Huwa wanawaita wanaume wa kweli au wanaume waelewa. Huwa wanatumia kama retirement plan, wakishamalizana na kila kitu
Mimi nitalaumu mwanaume ambae amewatoa bikira wanawake na kuwaacha, lakini kama wanawake unaokutana nao tayari washatumika ukipiga na kusepa hauna hatia yoyote. Taking into account, sio wanaume wote wanakutana na bikira kwenye historia ya mahusiano yao. Tusiwabebeshe wanaume wema makosa ya...
Mwanamke ni gatekeeper wa sex. Hakuna kinachoweza kufanyika bila idhini yake, labda awe amebakwa. Sasa kama thamani yake ipo kwenye kujitunza na anachanua mapaja kwa hiyari yake hapo ni yeye ndie atakaewajibika
Suala sio kutoka na wanawake, suala ni unatoka na kundi lipi la wanawake? Kama bado unataka kuendelea kucheza recklessly lipo kundi la single mothers, feminists, wanawake wa bar, wadangaji, vidada vya mjini vyenye tamaa n.k cheza recklessly kwenye hiyo pool. Bikira sio uwanja wa majaribio. Huyo...
Wewe hauini shida kuoa used, lakini kuna mwingine kwake hicho ni kipengere, na sio kweli sababu ni umimi. Zipo sababu nyingi sana za kiroho, kijamii na kisaikolojia.
Kiroho mwanamke ambaye umekutana nae ashatumika hawezi kuwa mke wako. Katikaulimwengu wa kiroho uyo ni mke wa mwanaume aliemtoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.