Habar mkuu......samahan kw Usufu
Nilikuwa naomb msaada wako japo unishauri kdogo....
Kwa kifupi Mimi naishi mkoa wa Arusha.nimehitimu diploma ya Civil engineering na nimetafuta pahala pakufanya internship lakini Hadi sasa sijafanikiwa , Hata hivyo nimezunguka kwenye kampuni ili kuomba nafasi...
Jamani naomba msaada niki mark hpo kwnye hiko kibox ndo tayar nimesubmit au Kuna procedure nyingine...maana nili mark toka wiki iliyopita alaf ckupata majibu Hadi Leo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.