Recent content by Nassoro Mussa

  1. Nassoro Mussa

    Tuliokosa mkopo awamu ya kwanza na ya pili wenzangu mnajiskiaje

    Usikate tamaa mkuu,, Mungu ana kusudio lake ktk kila jambo. Kumbuka kwamba mlango mmoja ukifungwa mwengine hufunguliwa isipokuwa watu hupenda kung'ang'ania ktk mlango 1 uliofungwa ndio maana hawaoni mlango mwengine wa kutokea... Kumbuka piya ktk kila maumivu unayopitia kuna funzo na ktk kila...
  2. Nassoro Mussa

    Hivi ni kweli hizi ni shule za vipaji maalum?

    Dah! Ila mtoa mada nahisi anatukumbusha namna gani mfumo wa elimu nchini ubadilike, elimu hii tulio chukuwa kutoka kwa MKOLONI lengo lake lilikuwa ni kumfanya Mtanganyika apate ajira na sio kingine.Haikushughulika na kipaji cha aina yoyote hivyo basi tukirejea kwa mtoa mada kuhusu shule za...
  3. Nassoro Mussa

    Elimu ngumu ndio elimu sahihi(Course ngumu ndio elimu sahihi)?.

    Tuzingatie na PASSION ya kile unachosomea ukiwa chuo...
  4. Nassoro Mussa

    Certificate ICT nimpeleke wapi?

    Dah! Mm nimefurahi tu hapa kumuona Masiya akiomba ushauri...
Back
Top Bottom