Habali ndugu zangu,
Nafanya biashara ya maharage ya mbeya kuleta Moro na Dar. Kwa wateja wa madukani kwa bei ya makubaliano na aina ya maharage husika.
Kama unaitaji maharage na upo maeneo hayo nicheki nikuletee mzigo mpaka dukani.
0629117470
Kwa wale wenye uzoefu na biashara ya maharage napenda kuuliza eti debe moja ya maharage inakadiliwa kuwa na kilo ngapi?
Au gunia lenye kilo 100 la maharage linakuwa na debe ngapi?
Msaada please
(Nchi yangu Tanzania, nilalapo nakuota wwe) .ni moja ya mstari katika nyimbo ya kizalendo ya taifa la tanzania ukibeba kiu na ndoto za wananchi wake wenye kiu ya maendelo kwa taifa hili.
Tanzania inchi yangu inayo endeshwa kwa mfumo wa kidemokrasia pasina shaka na mfumo wa uongozi wa kiselikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.