Recent content by Nassir Samir

  1. Nassir Samir

    DC na Mkurugenzi wa manispaa ya Ubungo wazungumza na watumishi

    Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mh. Hamphrey Polepole na Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Mh John L. Kayombo leo wamekutana na kuzungumza na watumishi wa idara mbalimbali kujadili changamoto na hatua za maendeleo katika Manispaa hiyo . Wakizungumza kwa nyakati tofauti wakati wa kikao hicho viongozi...
  2. Nassir Samir

    Rais Magufuli na kasi ya ukuaji wa uchumi

    Na:Nassir Bakari Mijadala mingi mitandaoni na sehemu mbalimbali kwenye mikusanyiko ya watu kwa siku za hivi karibuni ni kuhusu uchumi wa Tanzania na wanasiasa wengi kwa makusudi kabisa tena bila aibu wanawahadaa wananchi kwa malengo yao binafsi ikiwemo kisisasa, wanasema uchumi wa nchi umeshuka...
  3. Nassir Samir

    Re:WIZI WA 60M LEO MCHANA BUGURUNI

    ebu jamani tutulie taarifa huanz kama hadithi ila tu jamaa apunguze lugha ya kihuni
Back
Top Bottom