Recent content by nass kahamba

  1. N

    Uingereza yalaani shambulio la Iran

    Dunia inabadilika mwaka 2003 China ilikuwa Nchi ya 7 kwa uchumi Imara lkn leo ni Nchi ya pili baada ya America.kwa hivyo watu waache kukariri eti Uingereza na America hawapigiki'wanapigika sana tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. N

    VIDEO: Baba Mzazi wa Dk. Kigwangalla adai kutelekezwa na mwanae

    Muogopeni Allah Msitowe Majibu ya kifedhuri kiasi hicho kwa wazazi.kwa sheria ya Dini tukufu ya Kiislam Lazima Hamisi awajibike kwa wazazi wake atake asitake ni lazima awatunze. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. N

    GE2020 Dkt Bashiru: CCM haipo tayari kupoteza jimbo la Iringa Mjini

    Bila police na wizi wa kura Ccm hakuna jimbo hata 1 inaweza kushinda.Labda Chato wanawezakupata japo Nusu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom