Nipo katika hali ambayo inanifanya niwe najiuliza maswali mengi, na mwisho wa siku najikuta najijibu mwenyewe. Wakati mwingine nahisi labda ni wivu au ni kutokujiamini tu.
Kabla sijamuoa mke wangu, alikuwa rafiki yangu wa Facebook. Tulikuwa karibu sana kiasi kwamba alikuwa ananieleza hata mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.