MNDENDEULE,hata usihofu,ccp hakuna tabu yyt,kama demu wako anajiheshimu hakuna wa kumgusa labda apende mwenyewe hakuna wa kumlazimisha. Tena afande yyt akimlazimisha kuruta kusex naye kuruta akashitaki huyo afande anawez kushushwa cheo,kuhamishwa pale chuon, pia raia unaoa askari haina shida...