Recent content by Nasib_success7

  1. N

    Njia gani rahisi naweza kutumia nisisumbuane na wahudumu wa mgahawa wangu kwenye mahesabu?

    Habari wadau napata changamoto moja kwa wahudumu wangu wa mgahawa kwa muda mahesabu baada ya kuwahudumia wateja ukifika muda wamahesabu. Je ni njia gani rahisi naweza kutumia ili nisisumbuane nao?
  2. N

    Biashara ya hoteli (mgahawa)

    Habari wadau napata changamoto moja kwa wahudumu wangu wa mgahawa kwa muda mahesabu baada ya kuwahudia wateja ukifika mda wamahesabu. Je ni njia gani rahisi naweza kutumia ili nisisumbuane nao
  3. N

    Msaada: Chuo kipi Dodoma kinatoa kozi za kidiplomasia?

    Kwa ngazi ya diploma labda usome diploma in public adminstration and management ambayo kozi ya Ir utasoma mwaka wa pili wa diploma na baada ya hapo degree ndo ukasome hyo Ir yan international relation and diplomacy yenyewe kama yenyewe ila kwa sasa hakjna Ir kwa diploma
  4. N

    Msaada: Chuo kipi Dodoma kinatoa kozi za kidiplomasia?

    UDOM wanatoa International relation and diplomacy kuanda degree had masters pia
Back
Top Bottom