kwa wale wanaohitaji mayai ya kware na vifaranga tuwasiliane kwa namba hii 0789 411114.
kama wewe ni mara ya kwanza kufuga kware ninakukaribisha ujifunze jinsi ya kuwafuga na kuandaa mabanda yao.
utapata mkuu,
kwa vifaranga vya wiki tatu ni sh. 4,000 kila kija, ila kama unahiaji zaidi ya 100 bei inakuwa ni sh 3,500.
kama upo taari nipigie, hatuwezi kushindwana.. 0789411114
Habari zenu wana jukwaa. Napenda kuwapa taarifa kwa wale wanaohitaji vifaanga vya kware kwa sasa vinapaikana muda wote kwa bei nafuu sana, na mayai pia yanapatikana muda wote.
kwa mawasiliano tumia namba hii 0789411114
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.