Jaman mwenzenu kauliza swali badaya ya kumjibu mmeanza kushambulia kibabu cha wa2. Umri cyo tatzo dadangu unajua anachokupa ndo mana ukampenda na una nia ya kuolewa nae. mwenzio mchumba wng kanizdi miaka 25 sa cjui nasaidiwaje.
mh pesa ni k2 kimoja mapenzi ni kitu kingne bt tatzo linakuja kwamba wanaume wanaamini bla pesa hawezi kumpata mwanamke aliyempenda/mtamani. so ikaonekana "NO MONEY NO HONEY" ihalalishwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.