Hakuna mfanyabiashara giant ambaye Hana ukaribu na viongozi kuanzia USA to Msumbiji.
Hatuwezi kumchagulia RA marafiki eti kwasababu Sisi hatutaki awe na urafiki na viongozi.
Kosa tunalolifanya ni kushindwa kujifunza Kwa hawa jamaa namna ya kugenerate generation wealthy, maana hawa watu toka...
Max ni kama umechukua uamuzi wa haraka bila ya kuwa na utulivu, naamini ungeweza kutumia platform hiyohiyo kuwaelewesha wahusika nini ni nini naamini kuna mahala mngefika.
Sidhani kama maamuzi uliyochukua yalikuwa na utulivu na sio panic na kujaribu kufight back yaliyotokea.
Safarini Tandika...
Hapana, hana taarifa sahihi za mambo mengi.
Alipokuwa na uwezo wakuwa karibu na JPM awamu ya tano basi aliamini anajua kila kitu cha nchi hii kumbe sikweli anajua vichache sana tena vingine juu juu.
Mtu mwenye taarifa sahihi ukimsikiliza katikakati ya mistari utajua tu.
Inaonekana hata...
hahahaha mkuu lazima nije sio tu mbuzi, napenda sana wale madada wavaa madela wanakuwa na burudani sana hasa kwetu sisi tunaohitaji mapumziko baada ya kazi ngumu sana na mateso sana.
safarini Tandika Tanzania.
Kuweka record vizuri.
2013 - 2015 RA hakuwa anaonekana Tanzania.
Hapo ndio maana alisema walitofautiana na mtandao.
Baada ya 2015 - 2020, issue ya Barrick ikiwa hot RA alionekana Lumumba akimuendesha EL kurudi nyumbani CCM.
Na ndio kipindi pia CEO wa Barrick Mark Bristol alionekana Ikulu akiwa...
Intra energy Australia 70%..
Kimsingi RA alinunua hisa 70% za Intra energy tena alikuwa akimdai intra energy na walikuwa na contractual dispute mahakamani.
Watu wengi huwa ni oyaoya hawana taarifa sahihi, hata HP katika hili kaingizwa chaka Hana taarifa sahihi.
Shida ya watanzia tunapenda sana...
Sidhani kama una taarifa sahihi.
Yes, Caspian alikuwa mtoa huduma pale Tancoal, Je intra energy walikuwa wakimlipa Caspian?..
Kulikuwa na contractual dispute ya Caspian akimdai Intraenergy zaidi ya Bil 13 baada ya kutoa huduma bila kulipwa.
Intra energy alikuwa na 70% na Serikali kupitia NDC...
Ndugu, sio kila tuhuma ukituhumiwa lazima ujibu, kuna wakati mwingine unaona kabisa ni upumbavu na kujibu unapoteza muda wako na reputation yako tu.
Tuhuma zote alizoleta HP hakuna hata moja yenye ushahidi zaidi ya hear says, HP angeweka mezani any documents zinazoonyesha kuna fraud mahala...
Pale Ndani kwanini wanachama wa CCM wenyewe walikubali na hawakupinga?..
Kwanini kesi imefunguliwa na mwanachama mmoja au wawili na sio kundi la wanachama likiwakilishwa na mwanasheria?..
Mbona hatuoni matawi ya CCM yakipinga huo Utaratibu zaidi ya kumuunga mkono mgombea wao?.
Kama Wana CCM...
Aisee, issue ni recorded interview au issue ni kuongea aliyotaka kuyaongea?
Mkuu una ushahidi wa hayo unayoyasema au nawewe umesikia tu? na uliyesikia kwake naye kasikia mahala?..
Issue ya makaa na Mwadui, HP Hana taarifa sahihi za kwenye ground ni vyema aende akazitafute kuliko kuja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.