Recent content by Nangoro

  1. N

    Hongera Samia Kum-Endorse Dr Ndugulile; Mtangulizi Wako Aliwazuia Membe, Likwelile na Mulamula Wasiende AU

    Ufurahie kwa kuwaibia wananchi maskini hela zao.Magufuli shujaa aliwazuia kutanua na kodi zetu.Mmepata uhuru sasa mmevimbiwa
  2. N

    Godbless Lema sasa umaarufu unampa kiburi cha kutukana watumishi na kudhihaki jina la Yesu

    Lema yupo sahihi kabisa.Ulimsikia askofu waRC kule mbulu mbele ya mgeni rasmi mwigulu.
  3. N

    Ongezeko la Idadi ya Watalii wa Kimataifa Nchini.

    Inasaidia nini kama hali za watanzania inaporomoka sh. inaporomoka
  4. N

    Hapa kuiangalia sheria ya kodi na kanuni zake, Rais Samia umepiga bull

    Sasa watu wengi wanafunga biashara wenyewe kutokana na mitaji kuanguka kutokana na kodi kubwa
  5. N

    Uteuzi Julai 31, 2024: Rais Samia aunda Tume ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi (Presidential Commission on Tax Reforms)

    Walalamikaji wa kodi na tozo walioko field hawapo.Hawa maprofesa wa theory watasaidia nini.Hakuna tofauti na TRA akiona umefungua biashara anaona unapata sana kazi kukubandikia kodi kubwa
  6. N

    Today I visited Ngorongoro Crater: Ni pazuri kinoma

    Umewaona wamasai wakichungamifugo yao na pembeni wako wanyama pori.Bila hivyo tour yako ina mapungufu
  7. N

    Nataka niwape stori za ndani ndani kuhusu kiongozi mmoja nchini

    Huo ni mtaji wa ccm kuwafanya wananchi wawe maskini.na ukiwa maskini huna maamuzi na ipo nchi nzima.Na kuna mbunge bungeni alidai waongezewe mishahara kwa sababu wananchi wanalia shida hivyo huwagawia hela
  8. N

    KERO Responded Hospitali ya Serikali kwanini inakuwa na huduma ya choo ya kulipia?

    Inakuwaje za private vyoo ni bure na wmejenga kwa hela zoo.Upigaji kila kona
  9. N

    Jaji Warioba: Viongozi na wanahabari acheni uchawa mnaumiza wananchi

    Mungu tulindie huyu mzee maana naona amebaki pekee kusemea tabaka la chini sisi tusio na sauti
  10. N

    Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria

    Amepotosha nini na ushahidi wote kauweka hadharani watanzania wengi tumemuelewa ukitoa kundi la machawa
  11. N

    PreGE2025 Tundu Lissu: Bilioni 54 za kununua pikipiki "SSH 2025" zimetoka wapi?

    Magufuli hakuwahi kuwa mfujaji wa hela za nchi bali alikuwa na uchungu nazo.
  12. N

    Puto la Makonda linakaribia kupasuka?

    Hii nchi haitaki viongozi wanaowasemea walalahoi.Mungu atampigania Makonda
  13. N

    Boniyai Mstaafu Meya alikuwa Mlinzi wa Mbowe kwa Sifa zipi?

    Kwa hiyo ni ajabu secretary kuwa raisi
Back
Top Bottom