Walalamikaji wa kodi na tozo walioko field hawapo.Hawa maprofesa wa theory watasaidia nini.Hakuna tofauti na TRA akiona umefungua biashara anaona unapata sana kazi kukubandikia kodi kubwa
Huo ni mtaji wa ccm kuwafanya wananchi wawe maskini.na ukiwa maskini huna maamuzi na ipo nchi nzima.Na kuna mbunge bungeni alidai waongezewe mishahara kwa sababu wananchi wanalia shida hivyo huwagawia hela
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.