Recent content by Name Less

  1. N

    Dada wa kazi analeta Kizaazaa na Mkanganyiko

    Mimi nilipoleta household, nilijua atakula, atashiba, atapendeza then kitaanza kumuwasha, Nilimpa utaratibu, kwa vile alikuwa mkristo, nikamwambia kila jumapili ni lazima uhudhurie kanisani. Na ikibidi ujiunge na kikundi cha kwaya. Mpaka anaondoka kwangu sijapata tatizo lolote. Rafiki hebu...
  2. N

    Manabii wamekuwa wengi mpaka sasa inakera

    Tena wanajiita Mtume.na Nabii, zamani haikuwa hivyo. Mtume ni mtume na Nabii anabaki kuwa nabii.
Back
Top Bottom