Jamani mimi waliniibia mwezi ulipopita Swaziland, nilinunua vitu kwenye supermarket moja hivi na hela yangu haikutosa hivyo nikaamua kutumia card yangu ya ATM, baada ya wiki moja kurudi bank sikukuta hata sent Tano , hivyo tujihadhari sana jamani
Mimi nashangaa sana na nilipo iona habari hii nilisikitika sana. Nikweli wachaga wanamaana kubwa sana, kwani mkowa wa kilimanjaro asilimia kubwa wafanyakazi wa wachaga na ndio maana wanauchungu na wananchi wao. Sasa tukiangalia sisi mkoani kwetu hasa hapo wilayani mbozi angalia viongozi asilimia...
Mimi nashangaa sana na nilipo iona habari hii nilisikitika sana. Nikweli wachaga wanamaana kubwa sana, kwani mkowa wa kilimanjaro asilimia kubwa wafanyakazi wa wachaga na ndio maana wanauchungu na wananchi wao. Sasa tukiangalia sisi mkoani kwetu hasa hapo wilayani mbozi angalia viongozi asilimia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.