kipindi sisi tuna maliza form six enzi hizo, tulitamani sana jkt, lakini bahati hatukuwa nayo, maana tulikuwa tunakaa mwaka mmoja na miezi minne kusibiri kujiunga na vyuo,, kiasi nyumbani kulikuwa kuna chosha sana, vijana hebu changamkieni hii fursa ya kwenda kupata mafunzo bure, mie hapa hata...