Recent content by naka123

  1. naka123

    GE2020 Rais Magufuli ndiyo anaibuka kuwa atawaongezea mishahara wafanyakazi. Tunamwambia kuwa hatudanganyiki ng'oo

    Msema kweli kipensi cha mungu ...atudanganyiki tena ile budget ulisema heri pesa yote iende kwenye miradi ya kimkakati na si kuongezeana mishahara leo kulikoni utudanganye mchana kweupe...kura yangu kwa Tundu lissu
  2. naka123

    GE2020 Wakazi wa Dar es Salaam kweli na nyie mtamnyima Magufuli kura?

    Tarehe 28 Wana dar es salaam tuna jambo letu ...tumefokewa sana miaka 5 hii
  3. naka123

    GE2020 NEC: Lugha rasmi kwenye kampeni ni Kiswahili

    NEC imethirisha kuwa na mapungufu mengi sana uchaguzi huu nadhani hili linapelekea kurejesha hoja ya msingi ya kuwa na KATIBA mpya...najua hili la Katiba halipendwi kwa utawala wa awamu ya 5
  4. naka123

    Rais Magufuli: Your Excellence I'm trying but I can't reach you

    Mbinguni huingii wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
  5. naka123

    GE2020 "Maendeleo Hayana Vyama" v/s "Mkinichagulia Wapinzani Sitoleta Maendeleo"

    Kama mbwai iwe mbwai Kodi asikusanye Kama hatapelekeqa watu wa chama chake afu unaomba kibabe kwa kufoka aisee... ni kauli za kibaguzi ...nadhani waliomfaham vizuri wanamuepuka kindumbilakuwili tuu
  6. naka123

    Watu wanamhurumia Tundu Lisu kwa sababu alifukuzwa ubunge baada ya kushambuliwa kwa risasi !

    Kauli za baba mwenye nyumba zitamgharimu kwa wabunge na madiwani ...msema ukwelii mpenzi wa mungu ila itakula kwake damage done tunduma huko...
  7. naka123

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Nikisikia agenda za uchumi wakati najiuliza huo uchumi upo kwenye makaratasi au maisha na shughuli za kila siku. Anyway zidumu fikra za mwenyekiti.
  8. naka123

    GE2020 Polepole: Upinzani wamekuwa mstari wa mbele kutumia uongo kama nyenzo ya kampeni, adai Lissu ana tatizo la 'memory'

    Hizi hoja anazojibu pole pole kwa kwelii zimewagusaa naona ndugu pole pole poovu linamshuka ...wekeni mjadala wa wagombea wenyewe tuwasikie toka kinywani mwao
  9. naka123

    GE2020 Je, Halima Mdee amefanya nini Kawe kwa miaka 10 ya ubunge wake kustahili kuendelea? Sikia ya Askofu Gwajima, 28 Oktoba fanya uamuzi sahihi

    Siwezi kumchagua Gwajima kwa sababu tuliye mpendekeza wajumbe wamemuengua kwa vigezo vyao nakutuona sisi huku chini atujui maslai mapana ya Jimbo letu ...mwaga mboga nikanyage ugali ingawa nitaungua ila nitapona...
  10. naka123

    GE2020 Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata

    Ndugu yangu kwa nini unahukumu kabila la watu kuwa ni wezi mbona unaleta tabia za kitumbili...
  11. naka123

    GE2020 Hali si shwari ndani ya CCM, Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Bashiru Ally amekemea vikali baadhi ya wanachama wanaopanga kukisaliti chama

    Ni undumbilakuwili mwanzo mwishoo...hahahaha siasa mchana unanawa mikono mbele usiku unanawa mikono nyuma...
  12. naka123

    Kanali Martini Mkisi kweli maisha ni gwaride

    My personal views katika kipindi cha miaka 2016-2020 ni wanajeshi wachache wameludi shule kuongeza elimu ukiachana na course mbali mbali zilizopo ndani ya taasisi yao tunaitaji professors and Doctors wengi ili wajisifu Kama Mkisi... Nimekumbuka enzi za JITEGEME ukifanya dhambi Kama una mbio...
Back
Top Bottom