Recent content by Nairowa

  1. N

    CHADEMA yaigaragaza CCM kwenye kesi ya uchaguzi Simanjiro

    SENDEKA amekwisha kwisha kwisha kabisa
  2. N

    CHADEMA yaigaragaza CCM kwenye kesi ya uchaguzi Simanjiro

    Hatimaye HAKI imetendeka Katika kesi ya msingi ilofunguliwa na CHADEMA dhidi ya kuenguliwa mgombea wetu kwa nafasi ya mwenyekiti wa kijiji cha Narakawuo. Hukumu imeshatoka na tumeshinda kwa kishindo! Hongera CHADEMA, Hongera wakili wetu James Millya, Viongozi wa Chadema Wilaya Olesanago na...
  3. N

    CCM wakimpitisha Lowassa, UKAWA wanafanya sherehe asubuhi kabla ya kampeni

    Hivi ccm wanaweza kumsimamisha Lowasa kweli? Sidhani, hawawezi, lakini hata hivyo tuombe mungu awape upofu ili iwe rahisi kuwaangusha hawa magamba.
  4. N

    BAVICHA wapanua wigo wa vijana kimataifa

    #Chademakwanza tusaidie kufahamu Operation ya Bavicha ilikuwa inazungumzwa sana humu iliishia wapi?
  5. N

    BAVICHA wapanua wigo wa vijana kimataifa

    Patrick olesosopi Makamu mwenyekiti Bara Frank Oleleshwa mwkt mkoa wa Manyara George Tito mwkt mkoa wa Mbeya
  6. N

    BAVICHA wapanua wigo wa vijana kimataifa

    Mkuu mbona kama unaongea kigambagamba, Yaani humjui Patrobass Katambi, wala Mwita? Nawasiwasi wewe ni ACT, Any way ngoja nikusaidie wewe na vijana wengine wa Lumumba, PATROBAS KATAMBI mwenyekiti Taifa JULIUS MWITA katibu mkuu Bavicha Taifa SITTY MAKUNA Mwenyekiti wa mkoa mmoja huko Zanzibar
  7. N

    Kila la kheri kamanda Oleleshwa ktk safari yako BAVICHA

    Kweli mkuu hapa nashindana na wehu
  8. N

    Kila la kheri kamanda Oleleshwa ktk safari yako BAVICHA

    Tunawaelewa nyinyi vijana wa CCM, kazi yenu kubwa ni kupandikiza chuki ili kujenga hisia kwa wanachama kuwa hakuna haki ndani ya chama, tunawajua magambaz nyinyi hamna Sera
  9. N

    Kila la kheri kamanda Oleleshwa ktk safari yako BAVICHA

    Wewe unawajua wenyewe ndo sisi sasa unafikiri huku ccm? Ccm tunawajua mnateuwa viongozi we nu kwa mganga wa kienyeji
  10. N

    Kila la kheri kamanda Oleleshwa ktk safari yako BAVICHA

    Mkuu nilicho kuwa najaribu kusema nilikuwa najaribu kueleza uwezo wa Kamanda Oleleshwa
  11. N

    Kila la kheri kamanda Oleleshwa ktk safari yako BAVICHA

    Mi namuunga mkono kamanda Oleleshwa, kazi aliyoifanya Simanjiro inaonyesha uwezo mkubwa wa kijana huyu mi ningemshauri agombee naibu Katibu mkuu Taifa ile Nafasi ya Zitto, huyu Jembe anaweza Kabisa!
  12. N

    Ni kina nani hasa wajumbe ambao wanaounda Baraza Kuu la CHADEMA?

    jamani hii ni namba yangu nimeamua kuifunga baada ya kuona mnanipigia mnanituka na wengine mnanitishia
  13. N

    Hii ndiyo sababu Mh Zitto Kabwe anaimani zaidi na Baraza kuu la Chadema kuliko Kamati kuu!

    Nianze kwa kutangaza Maslahi mimi ni Mjumbe wa Baraza kuu la CHADEMA Kwanza wafahamu wajumbe wa Baraza kuu.......... 1.VIONGOZI WOTE WA KITAIFA, 2.WENYEVITI WOTE WAMIKOA, 3.WENYEVITI WOTE WILAYA, 4.WENYEVITI WOTE WA MAJIMBO, Mh Zitto amekuwa na imani na Baraza kuu kwa sababu hii...
  14. N

    Ni kina nani hasa wajumbe ambao wanaounda Baraza Kuu la CHADEMA?

    Wana Jf, kuna taarifa kuwa Zitto Kabwe ameweka pingamizi mahakamani kuzuia kikao cha Kamati Kuu kesho kujadili Suala lake hadi Rufaa yake itakapo sikilizwa na Baraza kuu la Chadema....... watu wengi wamekuwa wakijiuliza kuwa kwanini Zitto amekuwa na Imani na Baraza kuu la Chadema kuliko...
Back
Top Bottom