Lema ako salama kenya manake mashirika ya kitaifa yatamlinda na serikali ya kenya haina uwezo wowote tofauti manake ikijaribu vinginevyo itajikuta matatani kabisa. Ila hawa wakimbizi kutoka bongo wajichunge magu anaweza geuka kuwa kagame awawinde.
Magu ameshangaza dunia nzima. Hata sisi wakenya tumeshangaa mpaka tutakosa lakusema. TZ naona siku za usoni mambo yatawaendea vibaya sana maisha kiuchumi pia yatakuwa magumu. Uchumi utazorota.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.