Recent content by Naima Naimani

  1. Naima Naimani

    Kuna Jambo Uongozi uliopo madarakani usipoangalia linaenda kutokea kama la 1992 kwa Jirani yetu

    Kuna proof gani unaweka kutuwekea hapa kuthibitisha kwamba hao wahuni walitumwa na Vice President? Acheni Siasa za Maji Taka. Mmegundua Vice president ni Threat mkubwa kwenu. Ndio mnaanza kumchafua.
  2. Naima Naimani

    Zitto Kabwe ni genius apewe heshima yake, ninyi Ufipa mtujibu kwanza maswali yetu haya

    Tittle yako haihusiani na contents inaonyesha una Chuki binafsi na CHADEMA. Ni vema zaidi ACT mkajenga Chama chenu. Pia CCM Haina vitenga Uchumi Viwanja vyote walijimilikisha kutoka kwa Umma sio vya kwao. Naona wewe ni Wakala wa Uongo wa CCM. Ndio maana watu wengi wana kihusisha ACT na CCM
  3. Naima Naimani

    SoC02 Tufuge nyuki kwa maendeleo endelevu na tuwalinde kwa wivu mkubwa

    Pia nataka kuongezea hapo Mr. Lumola faida za Maziwa ya nyuki kufanya mtu awe mkakamavu, mwenye afya na asiyechoka. Huweza kuliwa katika hali ya asili, au baada ya kuchanganywa na asali.
  4. Naima Naimani

    SoC02 Tufuge nyuki kwa maendeleo endelevu na tuwalinde kwa wivu mkubwa

    Wajumbe wa hiyo kamat ya nyuk wanateuliwa na nani na vigezo gani vinahitajika.
  5. Naima Naimani

    SoC02 Tufuge nyuki kwa maendeleo endelevu na tuwalinde kwa wivu mkubwa

    Ahsante sana Kahumbi Lumola kwa majibu mazuri mpaka nimeshangaa kumbe sumu ya nyuki ni dawa na ina faida nyingi kiasi hicho? Ubarikiwe sana mdogo wangu.
  6. Naima Naimani

    Tui-support Association ya AMETT

    Hii movement ni Nzuri tupo tayari kuwasupport
  7. Naima Naimani

    SoC02 Tufuge nyuki kwa maendeleo endelevu na tuwalinde kwa wivu mkubwa

    links zimekuwa useful sana Mimi nilikuwa sijui kama kuna sheria ya nyuki Nimeisoma mpk nimeshangaa Hongera kwake
Back
Top Bottom