Ushauri wangu. Hapo hakuna ndoa. Umefikia kiwango cha kumshikia kisu umchome!!! Ipo siku kama hata kuchoma basi wewe utamchoma kisu.
Cha kufanya mpe talaka. Bora uvunje uanze upya kuliko kuendelea naye.
Masingle mothers wapo ambao waliteleza... mtafute mmoja wao akuongezee heshima kwenye mtaa...
Tatizo ukimuona tu lazima ugune kuwa siyo size yako... wa size yako ni hao unaokutana nao kwenye mishe zako ambao hukutani nao siyo wako kaka. Ndege wanaofanana huruka pamoja
Huyo dada alokosea sana kuoleaa na wewe... umemkuta mtu ana maisha yake na ndoto zake... ulitakiwa.. ukubali njia zake na siyo kuja kumbadilisha.. umekosea sana.
Huyo mwanamke atampata anayeendana nae na maisha yatapendeza sana.... wewe ulitakiwa kwenda kuoa binti aliyefeli kidato cha nne...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.