Recent content by NAFIKIRE

  1. NAFIKIRE

    Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

    Unaushaidi wowote kwamba alihusika kwenye kupotea kwa hao watu..au na wewe unabebwa na nguvu ya mitandao..kuchufua na kudidimiza viongozi wetu
  2. NAFIKIRE

    Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

    Makonda pamoja na mapungufu yake yote..bado ni karata turufu sana kwa serikali ya mama Samia..Kikubwa Mungu amlinde ni kiongozi mzuri sana wa kulingoza Taifa letu siku za usoni..Maadui ni wengi ila kikubwa watu wenye uthubutu wa kufanya maamuzi magumu Kama Makonda ni wachache..Tumuombee na...
  3. NAFIKIRE

    Waziri Biteko anakosa mshauri wa kisiasa. Hana muda na Wizara ya Nishati, muda mwingi anatumia kujitangaza mikoani na ameanza kupoteza mvuto jukwaani

    Acha chuki basi.. changamoto ya wa Tanzania mliowengi mnajifanya wajuaji sana..hapo ndio shida inaanzia..Kwanza Nani alikwambia Dotto ni msukuma..
  4. NAFIKIRE

    Waziri Biteko anakosa mshauri wa kisiasa. Hana muda na Wizara ya Nishati, muda mwingi anatumia kujitangaza mikoani na ameanza kupoteza mvuto jukwaani

    Akisoma ataelewa kwamba fitina Sasa zimeanza akae mguu sawa...wale wanaogopa ujio wake..mbinu chafu dhidi yake ni nyingi afanye kazi zake kwa taadhari kubwa
  5. NAFIKIRE

    Kwa njia za kawaida, uwezo huo hauna. Ila kiheshima, eti unao….

    Ahsante umempa vidonge vyake.. Watanzania tupendane na tumuunge mkono rais wetu...hakuna mwenye hati miliki ya nchi hii..nchi hii ni yetu sote na tuipende na kuilinda..tuwakatae kwa nguvu zetu zote watu wote wanaotaka kupanda mbegu za chuki za kikabila, kidini, kirangi,kikanda na hata...
  6. NAFIKIRE

    Kwa njia za kawaida, uwezo huo hauna. Ila kiheshima, eti unao….

    Ila watu mna chuki..Sasa ndio nini hii umeandika..yeye ndiye rais wako..unafikiri hiyo nafasi ameipata kwa upendeleo...acha chuki..pambana na Hali yako..
  7. NAFIKIRE

    Mkataba wa Bandari: KKKT muelewe hili kwanza

    Baba ameshasema kwa niaba yetu..sisi ni nani hata tumpinge kiongozi wetu..Amesema kanisa Lina mwamini na lipo pamoja na rais wetu.. Ahsante baba kwa hotuba nzuri..
  8. NAFIKIRE

    Waziri Ummy Mwalimu, tunaomba MDH wasiondoke mkoa wa Geita

    Serikali haiwezi kufanya kila kitu yenyewe..ndio maana inashirikiana na wadau Kama MDH.na matokeo ya ushirikiano wa serikali na wadau wa afya umekuwa na faida kubwa sana kwa serikali na watanzania
  9. NAFIKIRE

    Waziri Ummy Mwalimu, tunaomba MDH wasiondoke mkoa wa Geita

    Wasalaam ndugu wana Jukwaa, Kwanza nianze bandiko langu kwa kumpongeza Mhe. Waziri wa afya kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya ndani ya hii Wizara kubwa na muhimu sana kwa Watanzania. Hongera sana mheshimiwa Waziri Ummy. Wewe ni jembe haswa kwa maoni yangu na ni askari wa mwavuli wa Mheshimiwa...
  10. NAFIKIRE

    FT: Tanzania 1-0 Niger | AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 18.06.2023

    Uganda ashapigwa mbili huko... habari nzuri kwa Taifa Stars
  11. NAFIKIRE

    Serikali ianzishe "Maafisa Kodi wa Kata" na TRA ianzishe "mawakala" wa TRA

    Naunga mkono hoja..hoja nzuri sana..na Kama sijakosea hili limeshawahi kuletwa tena hapa jukwaani..ni wakati muafaka Sasa serikali ikafanyia kazi wazo hili la kuwa na mawakala wa Kodi mpaka ngazi ya mtaa au kitongoji..hii itaongeza ukusanyaji wa Kodi kwa kiwango kikubwa sana
  12. NAFIKIRE

    Chato: Msanii wa nyimbo za asili aliyemtumkana Rais Samia ahukumiwa miaka 6 jela

    Anachuki iliyopitiliza..na adhabu aliyopata kwa mtazamo wangu ni ndogo sana..
  13. NAFIKIRE

    Chato: Msanii wa nyimbo za asili aliyemtumkana Rais Samia ahukumiwa miaka 6 jela

    Mimi angekula 12..viboko sita wakati anaingia na sita wakati anatoka akamuoneshe mke wake..Mjinga kabisa huyu..Unasema huogopi kukamatwa wewe ni Nani..haya Sasa wakusaidie hao waliokutuma.. Rais ni mtu mkubwa sana kwenye nchi yetu..wa enzi zile walikufuru wakata kumfananisha na Mungu..wewe ni...
Back
Top Bottom