Makonda pamoja na mapungufu yake yote..bado ni karata turufu sana kwa serikali ya mama Samia..Kikubwa Mungu amlinde ni kiongozi mzuri sana wa kulingoza Taifa letu siku za usoni..Maadui ni wengi ila kikubwa watu wenye uthubutu wa kufanya maamuzi magumu Kama Makonda ni wachache..Tumuombee na...
Akisoma ataelewa kwamba fitina Sasa zimeanza akae mguu sawa...wale wanaogopa ujio wake..mbinu chafu dhidi yake ni nyingi afanye kazi zake kwa taadhari kubwa
Ahsante umempa vidonge vyake.. Watanzania tupendane na tumuunge mkono rais wetu...hakuna mwenye hati miliki ya nchi hii..nchi hii ni yetu sote na tuipende na kuilinda..tuwakatae kwa nguvu zetu zote watu wote wanaotaka kupanda mbegu za chuki za kikabila, kidini, kirangi,kikanda na hata...
Ila watu mna chuki..Sasa ndio nini hii umeandika..yeye ndiye rais wako..unafikiri hiyo nafasi ameipata kwa upendeleo...acha chuki..pambana na Hali yako..
Baba ameshasema kwa niaba yetu..sisi ni nani hata tumpinge kiongozi wetu..Amesema kanisa Lina mwamini na lipo pamoja na rais wetu.. Ahsante baba kwa hotuba nzuri..
Serikali haiwezi kufanya kila kitu yenyewe..ndio maana inashirikiana na wadau Kama MDH.na matokeo ya ushirikiano wa serikali na wadau wa afya umekuwa na faida kubwa sana kwa serikali na watanzania
Wasalaam ndugu wana Jukwaa,
Kwanza nianze bandiko langu kwa kumpongeza Mhe. Waziri wa afya kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya ndani ya hii Wizara kubwa na muhimu sana kwa Watanzania. Hongera sana mheshimiwa Waziri Ummy. Wewe ni jembe haswa kwa maoni yangu na ni askari wa mwavuli wa Mheshimiwa...
Naunga mkono hoja..hoja nzuri sana..na Kama sijakosea hili limeshawahi kuletwa tena hapa jukwaani..ni wakati muafaka Sasa serikali ikafanyia kazi wazo hili la kuwa na mawakala wa Kodi mpaka ngazi ya mtaa au kitongoji..hii itaongeza ukusanyaji wa Kodi kwa kiwango kikubwa sana
Mimi angekula 12..viboko sita wakati anaingia na sita wakati anatoka akamuoneshe mke wake..Mjinga kabisa huyu..Unasema huogopi kukamatwa wewe ni Nani..haya Sasa wakusaidie hao waliokutuma..
Rais ni mtu mkubwa sana kwenye nchi yetu..wa enzi zile walikufuru wakata kumfananisha na Mungu..wewe ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.