Recent content by NAFIKIRE

  1. NAFIKIRE

    JamiiForums Tanzania Sikuona sababu ya kumtenga mke mkubwa wa Ndugai msibani

    Kwani Sheria za nchi zinasemaje?..Mke rasmi wa Ndugai ni mke mwenye cheti cha Ndoa..Tofauti na hapo ni kusigina Sheria..Hawa wengine ni michepuko au mahawara ambao hawajulikani serikalini... Kwenye swala la Mheshimiwa: Tujiulize yupi ni mke sahihi wa Ndugai..ni Stella au Fatma...Yupi mwenye...
  2. NAFIKIRE

    JamiiForums Tanzania Mafao ya ustaafu wa Ndugai yaende kwa mjane yupi? Hizi ni kodi zetu, hatutaki kuwalipa mahawara au watu wasiostahili

    Watu mnakuza mambo..Umeshasikia kwamba Ndugai...alikuwa mgalatia(Mkristo) mwenye mke mmoja wa ndoa takatifu ya Kanisa Anglikana..na hakuwahi kuachana na mke wake wa ndoa..Kwa Wagalatia mke ni mmoja mpaka kifo kiwatenganishe..Hao wengine wanaotajwa Kama wapo...ni michepuko ambayo haijulikani...
  3. NAFIKIRE

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya Msiba wa Spika Mstaafu Kongwa: Haijulikani ana wake na watoto wangapi?

    Kwa dunia ya Sasa hivi hizi changamoto haziangalii kabila...Hakuna binadamu asiyependa fedha na mali...Haya mengine umeyasikia ni kwasababu ya umaarufu wa hao watu...Lakini hii mizozo ipo Kila Kona ya Tanzania
  4. NAFIKIRE

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya Msiba wa Spika Mstaafu Kongwa: Haijulikani ana wake na watoto wangapi?

    Mke wa ndoa ndiye mrithi na si vinginevyo...labda kama marehemu alikuwa amebahatika kuandika wosia uliokuwa ulioshirikisha pande zote
  5. NAFIKIRE

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya Wakinga Jijini DSM imempoteza Mdau muhimu wa Maendeleo mwenyekiti wa UWT Kinondoni mama Anna Luvanda Hangaya, ni pigo Kariakoo!

    Acheni mambo ya ukabila.Watanzania tumeshaondoka huko..Mtanzania unaruhusiwa kuishi mahali popote Tanzania bila kuvunja sheria, kanuni na taratibu za nchi yetu..Na wote lazima tujifunze kuvumiliana kwa misingi ya tofauti zetu kikabila, kidini, kirangi na kikanda..Acheni upuuzi wa kuzodoana...
  6. NAFIKIRE

    JamiiForums Tanzania Watu wameumia sana rohoni Mbowe kuonekana Dodoma ufunguzi wa Dira 2050 na kukosa mahakamani

    Lini umefanya huo utafiti kujua kwamba kila mwanachama anamsimamo sawa na wa mwenyekiti na kundi lake..Kumbuka kwenye kusanyiko lolote; kamwe watu wote hawawezi kuwa na mitazamo inayofanana
  7. NAFIKIRE

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema amlilia Freeman Mbowe kwa waraka mzito

    Walisema akae pembeni..ameishiwa sera...awapishe...amewapisha kwa amani bado leo mnamwandama(hakika binadamu hawana jema);pambaneni na hali zenu...kila zama na kitabu chake...Kama maji yamezidi unga mfuateni; muombe msamaha arudi awasidie kama mmeshindwa mapema hivi..Kinyume na hapo mwacheni...
  8. NAFIKIRE

    JamiiForums Tanzania Watu wameumia sana rohoni Mbowe kuonekana Dodoma ufunguzi wa Dira 2050 na kukosa mahakamani

    Sasa mlinvyoumia roho mlipomuona ameonana na Mheshiwa Rais nini? Si muendelee na maisha yenu na yeye aendelee na maisha yake...Kama ni duka amewachia limejaa bidhaa mpaka nje...pambaneni sasa uongozi mpya na wafuasi wenu kuhakikisha kwamba duka linaendelee kujaa bidhaa kama lilivyoachwa na...
  9. NAFIKIRE

    JamiiForums Tanzania Watu wameumia sana rohoni Mbowe kuonekana Dodoma ufunguzi wa Dira 2050 na kukosa mahakamani

    Msaliti tena!!!!!!!..yeye amesema ni mwanachama wa chadema kama walivyo wanachama wengine..Ana haki ya kufanya mambo yake binafsi bila uhuru wake kuingiliwa na mtu mwingine yeyote..
  10. NAFIKIRE

    JamiiForums Tanzania Nimebubujikwa na machozi, picha ya kumbukumbu ya kikao cha mwisho cha Baraza la Mawaziri la Rais Samia awamu ya Kwanza kilichoketi leo

    Tunasema:Samia mitano Tena Kazi na utu tunasonga mbele..TZ SSH2030
  11. NAFIKIRE

    JamiiForums Tanzania Nimebubujikwa na machozi, picha ya kumbukumbu ya kikao cha mwisho cha Baraza la Mawaziri la Rais Samia awamu ya Kwanza kilichoketi leo

    Tunasema:Samia mitano Tena Kazi na utu tunasonga mbele.. TZ SSH2030
  12. NAFIKIRE

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole naye atatungiwa msamiati kama alivyotungiwa Gwajima?

    Endelea kuteseka mpaka 2030..
  13. NAFIKIRE

    JamiiForums Tanzania Kama Kada Mwandamizi na Mwanadiplomasia nguli anaweza kumkosoa boss wake hadharani hivi, basi Rais amezungukwa na genge hatari sana la kisiasa

    Kwanini aliongee sasa; mbona wakati wa Magu hakutoka hadharani kukemea utekaji wa akina Saanane na wengine kwanini iwe sasa kama sio "siasa"..Alikuwa anataka kupata "political mileage" akubugi step..au timing haikuwa sahihi...imekula kwake..ajipange upya...Na anabahati mama ni mtu mvumilivu...
Back
Top Bottom