Asante ndugu,,mi niende moja kwa moja kwenye ,,"Tuanze kubadilika lini,?;"
,"Nadhani tuanze kubadilika sasa," tatizo la elimu yetu sio philosophy, tunatumia falsafa ya COMPETENCE BASED ambayo tumeinyumbua kutoka kwenye falsafa bora zaidi duniani ya PRAGMATISM EDUCATION BASED PHILOSOPHY, ambayo...