Jaman kwa aliyepgiwa wametumia namba gani mie kuna namba leo nimekuta miss kol siielew kabsa emu nsaidien iyo namba land line au ya mkononi pia namba 3 za mwisho.
Kuomba kaz na kujua siku ya usaili ni vitu viwili tofauti.amka kijana, mtu akiomba msaada kama iko ndan ya uwezo wako msaidie if nt kaa pemben upshe mtu anayeweza asaidie.
Jamani kwny majina ya walochaguliwa kwaajili ya interview PCCB mbona cjaona ratiba ya accountant wanafanya lini, saa ngap na wap? Coz pale meona ratba ya investigation officer na asstant wake tu.plz anayefaham
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.