Kuna ndugu yangu alifiwa na mumewe yapata miaka 5 sasa, aliugua kansa muaka 5. Isingekuwa mwanamke anajishughulisha sijui ile familia ingekuwaje. Kaacha watoto 4, wote wakiwa bado wadogo.
Kila mtu ana uhuru wa kuchagua anayemtaka. Kama wewe unaona mama wa nyumbani full time anakufaa haina shida, wanaopenda wachakarikaji nao powa tu. Ni uamuzi wako tu. Ila dunia inavyokwenda mambo yanabadilika. Wewe somesha mtoto wako wa kike halafu umuambie asitafute kazi akaolewe ili mwanaume...
Hata kama lingekuwepo unatakiwa utumie akili. Hivi itakuwaje nikikaa siku 30 bila kula? Mungu aliyeumba vyakula hakuwa mjinga. Wewe utoke tu huko ufunge siku sijui 20, huko ni kujiua kwa kukusudia
Nilihudhuria harusi moja , kabla ya sherehe tulikuwa na pilika za maandalizi huku tumechanganyika wanaume na wanawake. Mara ghafla likawekwa pazia eti kutengenisha wanaume na wanawake huku bibi harusi na bwana harusi wamekaa pamoja. Baada ya harusi watu wakachanganyika tena wanapiga stori. Wale...
Kuna mambo hayako sawa. Je hiyo forgery ilikuja baada ya kuchukua mkopo au la? Mwanamke anajua kuhusu deni it means alishirikishwa wakati mume anachukua mkopo. Anasema hakushirikishwa kuhusu mnada, hapo hapo anasema benki wamefuata taratibu zote za mnada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.