kinachonishangaza mimi ni kuona jinsi wanasiasa wa Tanzania walivyokosa mwelekeo! Hili nalisema wazi kutokana na ukweli kwamba siasa ya kweli na mapinduzi ya kweli hayawezi kuletwa na utitiri wa vyama! kuanzishwa kwa hiki chama ni mwanzo kabisa wa kugawa wananchi katika makundi. Hebu tujiulize...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.