Nina gf wangu, tangu anaingia advance level,anafanya mtihani mpaka mda wa
kusubiri matokeo alikua ni mtu mwenye nyodo sana, (offcourse mi nafanya kazi
lakini si yenye kipato kikubwa saaaaaaaaaaaaaaaaaana) ,sasa baada ya
matokeo akawa ameferi,yaani amepata matokeo ambayo ayawezi...