Recent content by mzyond

  1. M

    CHADEMA kushinda uchaguzi 2025

    Safari hii watapewa, kinachotakiwa ni wananchi kupiga kura nyingi kwa Cdm mpaka wezi wa kura waone aibu
  2. M

    CHADEMA kushinda uchaguzi 2025

    Unaweza ukadhani niko ndotoni lakini huo ndio ukweli, 2025 Chama kikuu Cha upinzani Chadema kina nafasi nzuri zaidi ya kushinda uchaguzi, kuliko chaguzi zote zilizopita, Sababu kubwa itakayowezesha CHADEMA kushinda ni makosa makubwa aliyofanya aliyekuwa mwenyekiti wa Chama Cha mapinduzi na...
  3. M

    Ikibidi nitaacha Utumishi wa Umma ili niendelee kuwa huru

    Njaa yako ndiyo iliyokupeleka ccm Sasa wee vumilia tu huko huko
Back
Top Bottom