Naombeni jamani mnidokeze maswali ambayo anawezwa akauliza human resource kwa upande wa intervew ya kuandika. kwani ni mara yangu ya kwanza kuitwa kwa intervew na sina idea.. asanteni.
Jamani naomba kuuliza hivi kwa nini mume au mke, girlfriend or boyfriend wanawekeana password kwenye simu?
Kuna nini hapo kinachofichwa?
Au michepuko ndo mingi?
Je ni halali kwa mume au mke kuwekeana password?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.