Napenda kupata muongozo. Nimeotaji kununua machine ya kuchania mbao kutoka china. Sasa sijaelewa vyema ni kwa namna gani fedha zangu zitakuwa salama. Kwenye hii biashara ili niwe na uhakika wa kuupata mzigo ninaotaka kuulipia.
Nipeni mwongozo ni kwa namna gani? Nitafanya na biashara ya kuagiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.