Recent content by mzimamoto

  1. M

    Hongera madiwani wa manispaa ya moshi

    2015 nadhani jafari au basili lema wanafaa kwani tunajua tukiwa na madiwani makini kama abuu shayo,ray mboya,mama kowero,kagoma, jomba koyi,mwita wa msaranga,minja,sherifu,hawa na yule wa ng"ambo n.k maendeleo yatakuja tu.
  2. M

    Hongera madiwani wa manispaa ya moshi

    Kweli kabisa hongereni tunaona kazi yenu madiwani na mbunge unyanyasaji mjini kwa machinga umepungua hatukamatwi ovyo tena ila swaka la uanzishaji advanced level naliunga mkono pale kiborloni sec.maana ile shule ina walimu makini sana wa kusimamia nidhamu na taaluma.mbunge shuhulikia hili...
  3. M

    Hongera madiwani wa manispaa ya moshi

    natumia fursa hii kuwapongeza madiwani wa halmashauri ya manispaa ya moshi wakiongozwa na meya jafari michael kwa kusimamia vizuri pesa za serikali.mfano karibu barabara nyingi za lami mjini zimepigwa lami hata za maeneo yaliyosahaulika kwa miaka mingi kama uswahilini,njoro.majengo. Lami...
  4. M

    Waziri huyu awajibishwe

    hivi karibuni mwigulu nchemba naibu katibu mkuu ccm bara alifanya mkutano hapa iringa miongoni mwa mambo aliyoyaongelea ni, 1.uuwaji wa viwanda uliofanywa na serikali 2.misamaha holela ya kodi inayofanywa na serikali 3.kuanzisha operation ya komboa jimbo la iringa mjini 4.kuomba laiti angekuwa...
  5. M

    Maelfu wahudhuria mkutano wa CHADEMA Kitanzini Iringa leo Lema na Msigwa ndani

    Big up lema na msigwa mperampera hadi 2015
  6. M

    Maelfu wahudhuria mkutano wa CHADEMA Kitanzini Iringa leo Lema na Msigwa ndani

    Leo ulifanyika mkutano mkuu wa chadema maeneo ya kata ya kitanzini manispaa ya iringa. Ulifurika kweli nampongeza msigwa kwa kuanza kuingia na kufanya mikutano ya ndani ya kata za manispaa na si mwembetogwa kila siku.mkutano ulihutubiwa na lema msigwa na mhamasishaji m4c kanda.mkutano ulifana...
  7. M

    Lema: Ubabe siyo dhambi, inategemea ubabe huo unaufanyia wapi

    Aman na usawa ndyo tunda la haki!
  8. M

    Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

    muhimu sana wa2 kama nyinyi!
  9. M

    Kidato cha sita 2013 wanatakiwa kuripoti JKT 24/06/2013

    wana format mind hawa hakuna k2 hapo!
  10. M

    Zitto ahojiwa kuhusiana na mabilioni ya Uswisi

    Hakuna maombi hapo ni kutumia akili?
  11. M

    Wana Udsm mgodi wa Pale ARIS Unatema Leo

    Hapa muce mida ya hatar muda wowote tangazo linaonyesha tareh 4/3 ndyo mpango mzma!
Back
Top Bottom