Ndo maana naipenda Man U na washabiki wake!!!!!!
1. Timu ni ya kistaarabu na imejijengea heshima kubwa sana duniani, hakuna purukushani kama wale wengne(wanajijua)
2. Mashabiki wanajitambua na kujiheshimu sana....hivi ingekuwa ndo Man U amepigwa hizo 5-1 si pangekuwa hapatoshi leo hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.