Fenerbahce vs. AS Roma, hii game siyo ya kona, ni ya on target shots. Ishatuchania.
Option ya corners kijuu kwa juu inaonekana simple. Ni option inayotaka utumie uchambuzi mwingi na akili nyingi.
Mechi unaweza kuiona ya corner, kumbe ya on target. Na unaweza kuiona ya on target, kumbe ya total...
Sijui ni mapepo kumalamamaake?!.
Zamani nilikuwa naboom kwasababu sikuwa na hii tabia. Tabia yenyewe ni kuangalia saa mara kwa mara kwenye notification bar ya simu.
Nikikuta na dakika 13 au 31, lazima mkeka uchane. Nimejizuia mara nyingi nisiangalie saa. Lakini kutokana na ratiba za maisha...
Niliwin odds 10 siku 2 mfululizo. Nikajiona mimi ndiyo mimi, najua kubet kuliko watu wote duniani. Nikawa najiona nimefikia level ya uprofessional wa kuchambua mechi.
Kwa odds 10 hizohizo, siku zilizofuata zote nikawa nachezea vichapo. Hata mzuka na umakini wa kuchambua mechi vimekata.
Hapa...
PSG ya msimu huu hakuna kitu. Wanajifanya wakina Messi wanacheza soka la Kiargentina la kutegea.
Wakikutana na timu zinazocheza mpira wa kasi, watashambuliwa vibaya sana.
Leo ndiyo leo. Hii kazi ni noma. Kama una roho nyepesi unaweza pagawa.
Ndiyo maana Deo Corleone (mmoja wa waanzilishi wa huu uzi, page ya kwanza ya huu uzi kuna comment yake) amenyoosha mikono. Anakwambia "hata utumie mbinu zipi, hata uumize kichwa vipi, bado betting ni ngumu".
Japo vichapo...
Wakamaria wa sports betting, vita yetu ni ngumu.
-Tunapambana na bookmakers kubana options
-Tunapambana na bookmakers kuweka odds kiduchu kwenye option unayoona itakutoa
-Tunapambana na advanced data bots
-Tunapambana na mechi kwenda ndivyo sivyo (red card, majeruhi n.k)
-Tunapambana na match...
Watu wanaona odds ndogo ndiyo zenye chance kubwa ya kuwin. Kuna mkuu humu kaleta odds 5 mechi 16. Kila mechi ni odds 1.01 haizidi 1.19.
Cha ajabu mechi ya 2 tu ya odds 1.04 imechana.
Tusikate tamaa wazee, japo vipigo vinakatisha tamaa.
Ni vichapo kwenda mbele, mpaka kichwa kinalia nziiii.
1: Mkeka ukichana halafu usirebet, mechi zilizobaki zinawin, na ukirebet, mechi zilizobaki zinachana.
2: Unavutiwa na results za ligi fulani, unajisemea "hii ligi kwa GG ni noma, mechi zote leo zimetoa GG, kesho nachukua mechi moja tu...
Kwa humu JF. Rollover tulianza jana. Mmojawapo humu kajitolea ya day 1, lakini haikuwa bahati kwetu, tumeenda na maji.
Tusichoke wazee. Tuanzeni upya. Kama kuna anayejiamini anajua anachofanya. Atuwekee hapa code ya day 1.
Day 1: PENDING
Day 2: PENDING
Day 3: PENDING
Day 4: PENDING
Day 5: PENDING
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.