Recent content by Mzibua Vyoo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Twende kazi kiongozi. Weka code turuke nazo. Hata zikichana poa.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Watu wanaona odds ndogo ndiyo zenye chance kubwa ya kuwin. Kuna mkuu humu kaleta odds 5 mechi 16. Kila mechi ni odds 1.01 haizidi 1.19. Cha ajabu mechi ya 2 tu ya odds 1.04 imechana. Tusikate tamaa wazee, japo vipigo vinakatisha tamaa.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tuwekee maelezo hapa tujifunze
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ni vichapo kwenda mbele, mpaka kichwa kinalia nziiii. 1: Mkeka ukichana halafu usirebet, mechi zilizobaki zinawin, na ukirebet, mechi zilizobaki zinachana. 2: Unavutiwa na results za ligi fulani, unajisemea "hii ligi kwa GG ni noma, mechi zote leo zimetoa GG, kesho nachukua mechi moja tu...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kwa humu JF. Rollover tulianza jana. Mmojawapo humu kajitolea ya day 1, lakini haikuwa bahati kwetu, tumeenda na maji. Tusichoke wazee. Tuanzeni upya. Kama kuna anayejiamini anajua anachofanya. Atuwekee hapa code ya day 1. Day 1: PENDING Day 2: PENDING Day 3: PENDING Day 4: PENDING Day 5: PENDING
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Rollover ya siku 5. Day 1 tu chali. Day 1 imechana wazee. Day 1: ❌❌❌❌ Day 2: PENDING Day 3: PENDING Day 4: PENDING Day 5: PENDING
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Rollover day 1 tayari. Lengo siku 5 tu. Day 1: PENDING Day 2: PENDING Day 3: PENDING Day 4: PENDING Day 5: PENDING
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii code inakataa
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kama unaweza, anza kupost day 1 rollover leo. Kesho ukitingwa na kazi. Day 2 atapost mtu mwingine. Ikitokea kesho hakuna wa kupost day 2 rollover, basi day 2 itapostiwa keshokutwa. Ikitokea keshokutwa hakuna wa kupost day 2, basi hata mtondo goo. Hivyohivyo, mpaka rollovers 5 zikamilike...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sawa. Atakayepost hizo rollovers, awe mtu makini anayejua nini anafanya. Apost mapema, ikiwezekana asubuhi, watu wakiamka wakute code ya rollover. Watakaopitwa na rollover kwasababu ya ubize wa kazi, itakuwa bahati mbaya kwao. Na watakaowahi, basi bahati kwao. Kama vipi tuanze hata leo...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kibongobongo kila kitu connection. Hata kujoin group jipya la rollover lililokuwa linajadiliwa humu, inatakiwa connection. Kama kweli limeshaundwa, watu wanajadili madini huko. Sisi tupo humu tunatumbua macho tu.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wazee mbona mnanisakama?, mimi niliona kimya nikauliza. Kuuliza imekuwa shida?!. Mnanishambulia utafikiri nimetukana?!!. Baada ya kuona kimya, mimi nimekumbusha tu. Nimekumbusha jambo la kheri naonekana mbaya. Acheni hizo jama.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Username siyo tatizo, ni username kama zilivyo usernames nyingine. Hakuna kibaya nilichozungumza hapo. Naona tumezidi maelezo, halafu kazi haianzi.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sisi wakamaria tuna mambo mengi sana. Suala la rollover limeanza kujadiliwa tangu usiku wa manane. Lakini mpaka sasa bado watu wanapiga domo tu, hakuna wa kuanza kuweka 2 odds za rollover wala nini. Usikute ndiyo imetoka hiyo
  15. M

    JamiiForums Tanzania Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

    Mechi ya pili ni lazima Portugal wangepambana washinde, kwasababu walikuwa wanahitaji kufuzu kuelekea hatua ya mtoano. Lakini ilikuwa ni ngumu kuamini kama 1st half angeshinda goli tatu. Una timing nzuri, kumbe ulipiga odds 800 kimyakimya?!!, achilia mbali hizi odds 28 za England vs. Croatia...
Back
Top Bottom