Daah!.
Mada kama hizi za kuilazimisha akili itulie. Zinafanya utafakari mambo mengi sana yasiyo ya kawaida. Zinafanya utake kujaribu kujifunza kutambua mambo yajayo. Zinafanya utake kufumbua mafumbo ya maswali mengi yanayokuhusu wewe kama wewe.
Hii mada upande mwingine inatia hofu. Kwa...
Wanawake wanafiki sana. Kwenye msala mkubwa kama huu utasikia wanasema "jamani, huyu kaka mzuri kweli halafu anabaka. Angeniomba ningempa hata bure"
Ajabu sasa ukiwa hauna msala wowote kitaa, ukiwaomba uchi wanakunyima, wanataka hela.
Siku hizi hakuna mwanamke atayekupa uchi bure.
Bora wahindi sinema zao zinatazamika. Za Kibongo je?
Za Kibongo naonaga hadi aibu kuzitama. FX effects nyingine unatazama pembeni kwa aibu ili zipite. Filamu za ughaibuni za miaka ya 60 zinazizidi Bongo movie kwa FX effects.
Ulianza vizuri, lakini naona una stress fulani hivi. Kwenye huu uzi wako kila atakayekuja kucomment unakua kinyume naye, unampinga.
Utajijua mwenyewe na matatizo yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.