Recent content by Mzibua Vyoo

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina shida na laini ya safaricom, nipo Dodoma, Tanzania

    Umefunga PM yako mkuu
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kutokewa na nguvu ya ajabu ambayo mpaka leo hujawahi kuielewa na wala huwezi kuielezea vizuri?

    Daah!. Mada kama hizi za kuilazimisha akili itulie. Zinafanya utafakari mambo mengi sana yasiyo ya kawaida. Zinafanya utake kujaribu kujifunza kutambua mambo yajayo. Zinafanya utake kufumbua mafumbo ya maswali mengi yanayokuhusu wewe kama wewe. Hii mada upande mwingine inatia hofu. Kwa...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hospitali ya Mzena inamilikiwa na nani? Kwanini iitwe Mzena?

    Tuweni makini. Siyo kila member JF ni mwenzio
  4. M

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Issa atuhumiwa kubaka na kulawiti watoto watatu

    Wanawake wanafiki sana. Kwenye msala mkubwa kama huu utasikia wanasema "jamani, huyu kaka mzuri kweli halafu anabaka. Angeniomba ningempa hata bure" Ajabu sasa ukiwa hauna msala wowote kitaa, ukiwaomba uchi wanakunyima, wanataka hela. Siku hizi hakuna mwanamke atayekupa uchi bure.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kama umesoma masomo ya sayansi na teknolojia movie za wahindi huwezi kuwa mpenzi nazo

    Bora wahindi sinema zao zinatazamika. Za Kibongo je? Za Kibongo naonaga hadi aibu kuzitama. FX effects nyingine unatazama pembeni kwa aibu ili zipite. Filamu za ughaibuni za miaka ya 60 zinazizidi Bongo movie kwa FX effects.
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulijuaje upo kwenye mahusiano na kicheche bed to bed midfielder na haukuwahi kumdhania?

    mkata uzi, hiyo app ya kunyonya meseji inaitwaje?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Je? Umri wako ni sahihi na watu wanavyokudhania?

    Uzi wa kujipa misifa huu
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuwatokomeze ma'simp hawatuwakilishi wanaume hata kidogo

    Ulianza vizuri, lakini naona una stress fulani hivi. Kwenye huu uzi wako kila atakayekuja kucomment unakua kinyume naye, unampinga. Utajijua mwenyewe na matatizo yako
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuwatokomeze ma'simp hawatuwakilishi wanaume hata kidogo

    Mimi ni simp, wewe siyo simp. Umeshinda
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuwatokomeze ma'simp hawatuwakilishi wanaume hata kidogo

    Sawa
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuwatokomeze ma'simp hawatuwakilishi wanaume hata kidogo

    Ungesema tuwatokomeze mashoga ningekuelewa. Siyo sawa kumtokomeza mwanaume mwenzako anayesimamisha kwa kumhangaikia mwanamke akamtombe.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ulimwengu wa majini na mambo niliyoshuhudia na kujifunza kwao

    Buraq Mustapha itakuwa kazidiwa huko PM. PM zinamiminika. Mjini hapa
  13. M

    JamiiForums Tanzania Chatgpt kiboko ase

    Sina habari kabisa kama kuna AIs za voice
  14. M

    JamiiForums Tanzania Chatgpt kiboko ase

    Ije AI ya sauti sasa. Mabibi na mababu zetu wavivu wa kusoma wafaidi nao. Unaiuliza kwa kuongea, inakujibu kwa kuongea.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Daktari bingwa wa Watoto Kibosho, ajiua Kisa Msongo wa Mawazo

    Mambo ya kugombaniana vyeo kazini
Back
Top Bottom