Recent content by Mzegamzega

  1. M

    JamiiForums Tanzania CUF waishambulia CHADEMA

    Jamani kumbe CHADEMA wana maadui wengi ,CUF wanakeraa sana ,toka waunde serikali (waolewe) na CCM wana nyodo sana.Sijui mimba inawasumbua?? Khaa!!!!!!!!: I like this
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CHADEMA watoka nje kususia hotuba ya Rais Kikwete

    :tape:
  3. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya kususia hotuba ya JK sasa operesheni sangara ya ghafla kufanyika nchi nzima

    Jamani tushaona wazi WAPINZANI HALISI ni CHADEMA pekee.. kuna umuhimu kuwa kambi moja na CUF na wengineo?????:A S angry:
  4. M

    JamiiForums Tanzania Serikali yatoa Tumaini Mahakama ya Kadhi

    Jamani hii nchi haina dini!!!! Kwanini Watanzania walipe kodi kusupport mahakama ya kadhi na huku hii nchi sio ya kidini? Au hii kodi itakuwa inakusanywa kutoka kwa waislamu pekee au ndo mwanzo wa mpasuko wa nchi? Acheni ushabiki! Kama mnataka mahakama ya kidini then mko kwenye wrong country...
Back
Top Bottom