Recent content by Mzeewamiba

  1. M

    Wapalestina ni wavamizi kwa mujibu wa Quran

    Kwani huo waraka ndio Biblia? Yeye katoa maandiko ndani ya quaran, na wewe lete maandiko ndani ya Biblia yake sio mambo ya waraka wa Papa ambao ni kama gazeti tu.
  2. M

    Afrika Kusini: Serikali Kunyakua Ardhi Kwa Nguvu kutoka Kwa Wazungu Bila Fidia

    ANC wameona wamepoteza ushawishi sasa wanaenda kuangamiza uchumi wa South Africa.
  3. M

    Sweden: Aliyechoma moto Quran auawa kwa kupigwa risasi

    Kwa hiyo huu ni wakati wa Musa siyo!??
  4. M

    Sweden: Aliyechoma moto Quran auawa kwa kupigwa risasi

    Kwa hiyo huu ni wakati wa Musa siyo!??
  5. M

    Utawala wa Trump wafuta misaada yote ya silaha kwa Ukraine na uchunguzi unafuata

    Bora vita viishe wanajeshi wa Ukraine wapone.
  6. M

    Lissu umeshinda, ioshe mioyo ya timu Magufuli tukukabidhi nchi

    Kwa tume hii ya uchaguzi, sahau baba
  7. M

    Uingereza yaichimba mkwara Kremlin

    Kweli hana akili
  8. M

    Canada na Uswizi zatangaza kumtia mbaroni Benjamin Netanyahu akigusa ardhi yao

    Wanataka kuwafurahisha waarabu, watakuja kujuta na huo uhamiaji holela walioruhusu. Time Will Tell
  9. M

    Baada ya kuona ufanisi wa silaha mpya ya Russia Oreshnik, naomba tujadiliane kuhusu US Military Carriers

    Hapo ukiambiwa uchague pa kwenda kuishi kati ya Urusi na Marekani utakimbilia Marekani.
Back
Top Bottom