Recent content by mzeewajiji

  1. mzeewajiji

    Yaliyojiri StarTv: Mahojiano Maalum ya Dr. Slaa na Star TV - Tarehe 4 Septemba, 2015

    Naanza kwa kukir na kuwaomba ndugu na jamaa zangu waelewe hivi dr slaa ni sawa na Jack Bauer wa series moja inaitwa 24. Utamchukia leo lakin utamuelewa hapo baadae.. Inauma lakin ni dawa slaa haijalishi kashirikiana na nani kusema ukweli huo lakin wekeni kichwan kuwa slaa kasema ukweli mtupu ...
  2. mzeewajiji

    Diamomd Platnamz rasmi team Magufili

    Ni tarehe 23 mwez huu 2015 Uzinduz wa kampen pale jangwani Kijana nasibu pamoja na wasani kibao watakuwepo Huku upande wa pili Prof j,wagos wa kaya,sugu,nature ,msaga sumu na bongo movie wachache kama wolper na anti ezekiel watakua upande wa ukawa
  3. mzeewajiji

    CHADEMA yasambaratika Sengerema

    Aliyekuwa mgombea wa ubunge katika kura za maoni ndugu Tabasamu amerejea CCM pamoja na mwenyekiti wa CHADEMA Sengerema. Kazi ndo kwanza haijaanza
  4. mzeewajiji

    Kamati Kuu ACT-Wazalendo yakutana Double Tree Hotel, Dar - Agosti 15, 2015

    Picha nawaletea hapa ======== UPDATE: Zitto amekanusha majina ya watu waliotajwa awali (makada wa CCM) Walio pichani ni Anna Magwhira, Zitto Kabwe na Shaaban Mambo. Wapo pia Venance Msebo (mwenye miwani) na Richard Sabini
  5. mzeewajiji

    Leo Ijumaa, Agosti 7 nitazungumzia siasa zinazoendelea nchini channel 10 saa 4 usiku, karibuni

    Pole pole kwa taarifa tu na kwa wasiomjua Ni moja ya majasus kutoka tiss Watu hawa hutumia mbinu za kujichanganya aaminike then anaamua kukichafua Polepole ameshaahidiwa ubalozi wa tanzania nchin sweden akifanikisha anachokifanya
  6. mzeewajiji

    Baada ya kumaliza kuandikisha, mashine za BVR zinaenda wapi?

    Wakuu salamu, Taarifa nyeti sana zinasema kuna taarifa kua machine za bvr ambazo kwa sasa zimemaliza muda wake wa kutumika hazitafungiwa makumbusho bali zitatumika kinyemela kuandikisha watu mamluki walio wengi ni kutoka makambi ya wapinzani, wafungwa na wahamiaji haramu na wengine kukodiwa...
Back
Top Bottom