Recent content by Mzee wa Udambwi

  1. Mzee wa Udambwi

    JamiiForums Tanzania Kumbe Mzena Hospital iko pia Zanzibar

    Haipo
  2. Mzee wa Udambwi

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Kuna ubaguzi wa kikabila, Utaifa na mpasuko wa kidini, Utanganyika, Uzanzibari

    Mzee umri umeenda lakini anapangilia neno kwa neno kuelekea kwenye point
  3. Mzee wa Udambwi

    JamiiForums Tanzania Dorothy Semu: Jaji Warioba anaendelea vizuri

    Mzee awe makini sana hizo mic hizo na maji ya mikutanoni si salama
  4. Mzee wa Udambwi

    JamiiForums Tanzania Godlisten Malisa: Nilipoingia kwenye gari walibadilika. Walikuwa na silaha. Nilinyang'anywa simu na sikuruhusiwa kumjulisha mtu nilipo

    Hapa ingetoka taarifa kua tunafatilia maana mara ya Mwisho alikua Marekani hatuna taarifa yoyote kwenye viwanja vyetu na boda kua aliingia lini nchini, kama polepole tu ndo imetoka hiyo
  5. Mzee wa Udambwi

    JamiiForums Tanzania Wana CCM kama sio waoga wamuachie Balozi Nchimbi azungumze badala ya kumshambulia akiwa amefichwa

    Wanaogopa vibaya sana wanaogopa ya polepole
  6. Mzee wa Udambwi

    JamiiForums Tanzania Serikali itatoa elimu ya katiba kwa Wananchi kwa miaka mitatu August 28,2023

    Hawa jamaa ni ni waongo sana sana
  7. Mzee wa Udambwi

    JamiiForums Tanzania Mchumba anahitajika kwa ajili ya ndoa ndani ya mwaka mmoja.

    Nimecheka sana baada ya kuona neno mweupe mrefu awe bikra Janja hawa wa hivi wanakazwa wakiwa na miaka kuanzia 10, ndo uje umpate akiwa na 24?
  8. Mzee wa Udambwi

    JamiiForums Tanzania Hamza Johari: Kikatiba, nafasi ya Nchimbi ilikoma baada ya kuvuliwa uanachama CCM

    Katiba mpya ndo Mkombozi wa Taifa hili
  9. Mzee wa Udambwi

    JamiiForums Tanzania Profesa Shivji: Hatuwezi kuliponya Taifa bila kuwawajibisha waliotekeleza mauaji Oktoba 29, 2025

    Ni ngumu sana kiwataka watu wasahau ya Oktoba 29 hata ukitumia njia gani watu awawezi kusahau
  10. Mzee wa Udambwi

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Tundu Lissu kuendelea na maswali ya dodoso Mahakamani leo Agosti 28, 2026

    Lissu Mwaga moto Mwingi kama Dragon
  11. Mzee wa Udambwi

    JamiiForums Tanzania Mizaha ya kukera ya Mh. Tundu Lissu, inafanya watesi Wake wamchukie Zaidi!

    Kwaiyo unataka akifika mahakamani aanze kuangua kilio mpaka kamasi zimtoke kwamba ndo watamuonea huruma?
  12. Mzee wa Udambwi

    JamiiForums Tanzania Nchimbi kajiuzulu Katiba inasemaje endapo rais akipata changamoto ya kushindwa kuendelea na majukumu yake

    Kivipi na akuchaguliwa kama mgombea mwenza?
Back
Top Bottom