Recent content by Mzee wa Udambwi

  1. Mzee wa Udambwi

    Real Madrid kukutana na Manchester City, huku PSG wapangwa na Chelsea FC hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya

    Kwenye njia yake kuna muuaji wa wakubwa Arsenal hiyo fainal barca atafikaje?
  2. Mzee wa Udambwi

    Vitu vitatu vitakavyoiua Simba SC kwenye dabi ya kariako 1/03/2036

    Hiyo Simba itakayofungwa labda ya huko kwenu Nachingwea
  3. Mzee wa Udambwi

    Dubai: Falme za Kiarabu (UAE) kuishambulia Iran ili kulinda usalama wake

    Unayatamka haya ukiwa umejibanza kwenye kibanda cha kahawa kwa wachambuzi uchwara
  4. Mzee wa Udambwi

    Tatizo hili linaninyima raha na Amani

    Habari za wakati huu wapendwa,Naomba niwaelezee tatizo langu pengine mnaweza kunisaidia Nina shida moja sijui ni aleji ama ni nini maana niliwai enda hosptal ya wilaya hawakuona tatizo,pia kipato changu ni kidogo cha kuniwezesha kwenda hospital kubwa kwa vipimo vikubwa Shida yangu ni nikikaa...
Back
Top Bottom