Recent content by mzee wa ndondo

  1. mzee wa ndondo

    JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba

    Usihofu mkuu nitakutaarifu
  2. mzee wa ndondo

    JamiiForums Tanzania Unakumbuka nini enzi zako za Chuo kikuu?

    Nakumbuka Maisha ya chuo kipindi tupo sua aisee semester ya nne,tano,na Sita Darasani naenda kutokana na ukali wa mwalimu nakumbuka mwalimu wa bness law Mr marwa na hrm Mr muhanga sikuwahi kukosa vipindi vyao. Nachosikitika ni pale nilipopata 2 test one bness law wakati tuliruhusiwa tuingie...
  3. mzee wa ndondo

    JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba

    Samahani nilisahau kuweka mwisho ni miaka 28
  4. mzee wa ndondo

    JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba

    Habari wanajamvi? Naandika Uzi huu Nikiwa na dhamira ya Kumpata mwanamke ambaye atakua mke wangu. Vigezo -awe Tanzania -mkristo -umri kuanzia miaka 25 -awe mtu mwenye uhitaji kweli na mume siyo mtu wa masihara. Kwa maelezo zaidi njoo pm. Naomba kuwasilisha.
Back
Top Bottom