Recent content by MZEE WA MSALALA

  1. MZEE WA MSALALA

    Elimu Tanzania inakwama wapi?

    ELIMU TANZANIA SHIDA NINI? kwa mjibu wa Jamii Forums, Mwaka 2017 wavulana 36,434 waliacha shule, na wasichana 29,708 waliacha shule Katika Mwaka huo na kufanya jumla 66142. Miaka mitatu baadaye yaani 2020 wavulana 96,683 waliacha shule ikiwa ni mara 2.65 ya 2017 na waschana 71,151 Mwaka 2020...
  2. MZEE WA MSALALA

    Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

    Huyu jamaa asipozibitiwa anafitinisha majeshi na serikali, anachotakiwa Ni kuikataa chanjo kwa kudhibitisha kitaalamu na sio kwasababu tu hataki, aseme madhara yake kwa kutumia Takwimu na ushahidi wa mahalimahali
Back
Top Bottom