Recent content by mzee wa miba

  1. mzee wa miba

    Rais Kikwete ateua Wakuu wa Wilaya 13 wapya, ahamisha wengine 7

    Asumpta Mshana.?!!!???!!!!! ... Hivi mtu anakataliwa na wapiga kura wake then ww unampa ukuu wa wilaya... Kazi ipo wengine walionekana ni mabogasi hata kule bungeni... Leo wanapewa jukumu la uDC.....!!!!
  2. mzee wa miba

    Mwenyekiti UVCCM Rombo aliyetuhumiwa kuwa na Uhusiano na Ben Saanane aongea na waandishi wa Habari

    Sheeedaa, kanafaa kutafuna Aisee Mangi, haka unakula mpaka mifupa yake
  3. mzee wa miba

    Magufuli: M4C = Magufuli 4 Change

    Acheni ulofa na upumbafu.... Kuanzia lini Chanzo Cha Matatizo wakaazisha mabadiriko????!!!
  4. mzee wa miba

    Rais Kikwete amteua Profesa Muhammed Bakari Kambi kuwa Mganga Mkuu wa Serikali

    Jamaa anaendelea kubalansisha wakristo na waislamu
  5. mzee wa miba

    Kwa jicho la kiroho: Sakata la Dr. Slaa

    Yeye anajiita eti ni padre mstaafu.... Mpumbafu na Lofa kabisa
  6. mzee wa miba

    Kususa kwa Dk. Slaa: Mtumbwi wa kisiasa wa CHADEMA unazama?

    Dr. Salaaa nimekudharau sana yaani anakuja kuongea umbea na majungu....... Anajaribu kuwagombanisha maaskofu wa katholiki na waumini wao ili eti tumchukie Edward NL...... Ukweli kibabu kikono umeisha... Wenzio wanakimbia hicho kichaka kiitwacho CCM kwa vile kinaungua moto huku wewe ndo unaenda...
  7. mzee wa miba

    Waziri wa zamani Lawrence Masha afikishwa Mahakamani, akosa dhamana

    Simiyu yetu ni mpumbafu na lofa mkubwa kafie mbali
  8. mzee wa miba

    Hujuma, Zoezi la uandikishaji BVR lilisimama Rombo tangu Ijumaa 03.07.2015

    Taarifa za uhakika zinasema zoezi la uandikishaji wapiga kura hapa wilayani Rombo limesimama tangu Ijumaa iliyopita kwa kinachosemekana wino kuisha. Hii inawwzekana Ni hujuma ya watawala na maCCM kwa vile jimbo hili halina Dalili za kurudi CCM.. Nawasilisha
  9. mzee wa miba

    Kinana apiga marufuku kodi za kero, ataka bei ya kahawa ipande

    Unajua Ma-CCM hamnazoo kwelikweli yaani mwaka huu ndiyo mnajidai mnawapenda wananchi wa Tanzania !!!??!? Shame on you mabazazi na magamba wote, huku vijijini hatutaki kabisa kuwasikia nyie leteni hizo pesa mlizotuibia katika EPA, Escrow, BoT,Richmond na scandal zingine nyingi na tutazitafuna...
  10. mzee wa miba

    Nimeona aibu sana nilipomsikia Wassira

    Hawa watangaza nia wa CCM sijui wamekula maharage ya wapi hawa..?!!????????
  11. mzee wa miba

    Dr. Slaa ni chuma cha pua na mwanasiasa jasiri, Nape tafuta size yako

    Vuvuzela LA chama hakunaga na ni ubwabwa kabisa Michele Wa kyela
  12. mzee wa miba

    Dr. Slaa ni chuma cha pua na mwanasiasa jasiri, Nape tafuta size yako

    Magamba mtataga mayai mwaka huu iwe isiwe.....
  13. mzee wa miba

    Dr. Slaa ni chuma cha pua na mwanasiasa jasiri, Nape tafuta size yako

    Wauaji na maadui wa CCM siyo Chadema Bali ni watanzania wote walioathirika na wizi Wa Richmond, BoT, EPA na uharamia wa Escrow .....Kwa utumbo huu uliofanywa na wanamagamba nathibitisha na kujiapiza kuwa adui Wa CCM ni maskini wote Wa Tanzania wanaoathirika Kwa kukosa huduma za afya na dawa ktk...
  14. mzee wa miba

    Mzimu Wa CHADEMA waendelea kuwatesa madiwani Wa CCM na maCCM huko Rombo

    Wewe Mjepo Kama huamini tafuta Mrombo yeyote apige simu huku Rombo watatawambie ukweli....tena halo ya CCM Ni hata huku hata huyo Kichwa cha Nazi mengine hajayasimulia
Back
Top Bottom