Sijawai kumiliki mgodi,jirani yangu anachimba hadi Sasa na uzarishaji unaendelea.viashiria vya kuwepo dhahabu vipo maana Kuna trenches mbili za wakoloni ndani ya shamba.
Wakuu rejea kichwa cha habari hapo. Nina tafuta mtu aliye tayari tufanye utafiti wa kuchimba dhahabu kwenye shamba langu.
Jirani na shamba langu Kuna mgodi unaendelea, hivyo na Mimi naitaji kuanza kuanza utafiti.
Aliye tayari aje inbox tuwasiliane. Location ni kanda ya ziwa mkoa wa Mara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.