Recent content by Mzee Wa Kaliua

  1. Mzee Wa Kaliua

    WAPENZI WA NYIMBO ZA ANJILI NJOONI HAPA

    Kwaya ya m takatifu Cecilia mirerani
  2. Mzee Wa Kaliua

    Nahitaji Toyota Pick Up (SINGLE CABIN)

    Nipe namba yako unayopatikana whatsapp
  3. Mzee Wa Kaliua

    Jeshi la polisi Mbeya limewakamata watu watano kwa kuhusika na mchezo wa upatu wa LBL

    Eeehh aisee tukawa akiingia tu kusalimia group tunamshangilia Madame,Madame kumbe madame ya nyokoo
  4. Mzee Wa Kaliua

    Jeshi la polisi Mbeya limewakamata watu watano kwa kuhusika na mchezo wa upatu wa LBL

    Mkuu Kwa hiyo hapo waandike maumivu maana naambiwa Hadi group lao limekuwa locked🤣🤣
  5. Mzee Wa Kaliua

    Jeshi la polisi Mbeya limewakamata watu watano kwa kuhusika na mchezo wa upatu wa LBL

    Ukishaona group limekuwa locked basi jiandae kisaikolojia... Mimi nilishalizwa 900k kwenye Ile sijui forex,,halafu makao makuu hukohuko Mbeya...Kuna mwamba tulikuwa tunajua ni Dem ndie MD tulizoea kumwita Madame Vero kumbe Njemba...mwanzo nikawa napewa mgao baadae group likawa ONLY ADMIN CAN...
  6. Mzee Wa Kaliua

    Jeshi la polisi Mbeya limewakamata watu watano kwa kuhusika na mchezo wa upatu wa LBL

    Kuna dogo nipo nae hapa kitaa ambae ni member wa LBL anakwambia kampuni ililetea na mama samia ili kuwapa ajira vijana,,anaamini Kila kitu wanachoambiwa kwenye groups zdo
  7. Mzee Wa Kaliua

    Jeshi la polisi Mbeya limewakamata watu watano kwa kuhusika na mchezo wa upatu wa LBL

    Anaweza akawa anaona tu figure,,kimbembe siku akitaka kutoa Sasa hiyo Hela yake ndio atajua hajui
  8. Mzee Wa Kaliua

    Jeshi la polisi Mbeya limewakamata watu watano kwa kuhusika na mchezo wa upatu wa LBL

    Mkuu hivi kenge ana masikio? Au ulimaanisha puani🤣🤣
  9. Mzee Wa Kaliua

    Jeshi la polisi Mbeya limewakamata watu watano kwa kuhusika na mchezo wa upatu wa LBL

    Hakuna biashara pale mkuu,,unachotakiwa kufanya ni kuweka 50,000 Hadi 540,000. Kisha wao wanakutumia movies tano Kwa siku (trailer).unatakiwa uzitazame zote Kila clip inakuwa na sekunde 10 then wao wanakulipa 18,000 per day ikiwa umeweka 540,000.usipotazama wao wanakata 18,000 ktk Ile pesa yako
  10. Mzee Wa Kaliua

    Jeshi la polisi Mbeya limewakamata watu watano kwa kuhusika na mchezo wa upatu wa LBL

    Wajinga wengi wanaamini maisha Yana short cut acha wapigwe
  11. Mzee Wa Kaliua

    Jeshi la polisi Mbeya limewakamata watu watano kwa kuhusika na mchezo wa upatu wa LBL

    Meneja wa kampuni ya LBL Kanda ya mbeya amekamatwa juzi tareh 18/2/2025 baada ya polisi kuvamia ofisi za kampuni hiyo na kufanya upekuzi na kubaini kufanyika biashara ya upatu. Poleni sana Wana mliowekeza ktk biashara hiyo
Back
Top Bottom