Ukishaona group limekuwa locked basi jiandae kisaikolojia...
Mimi nilishalizwa 900k kwenye Ile sijui forex,,halafu makao makuu hukohuko Mbeya...Kuna mwamba tulikuwa tunajua ni Dem ndie MD tulizoea kumwita Madame Vero kumbe Njemba...mwanzo nikawa napewa mgao baadae group likawa ONLY ADMIN CAN...
Kuna dogo nipo nae hapa kitaa ambae ni member wa LBL anakwambia kampuni ililetea na mama samia ili kuwapa ajira vijana,,anaamini Kila kitu wanachoambiwa kwenye groups zdo
Hakuna biashara pale mkuu,,unachotakiwa kufanya ni kuweka 50,000 Hadi 540,000.
Kisha wao wanakutumia movies tano Kwa siku (trailer).unatakiwa uzitazame zote Kila clip inakuwa na sekunde 10 then wao wanakulipa 18,000 per day ikiwa umeweka 540,000.usipotazama wao wanakata 18,000 ktk Ile pesa yako
Meneja wa kampuni ya LBL Kanda ya mbeya amekamatwa juzi tareh 18/2/2025 baada ya polisi kuvamia ofisi za kampuni hiyo na kufanya upekuzi na kubaini kufanyika biashara ya upatu.
Poleni sana Wana mliowekeza ktk biashara hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.