anakuja hapa kwenye jukwaa la Watanzania ambako angeweza kujieleza kwa mikogo yote ya Kiswahili, kwa Kiingereza cha kuunga unga.
Tafadhali tunaomba tafsiri ya hiki kiswahili chako, ili sisi waswahili tukuelewe kwa kiswahili chetu.
Lugha ya malkia wako ni lugha tuu kama lugha zingine. Na kama unataka kushindana na watu kuhusu hiyo hiyo lugha ya malkia wako humu wewe unaonekana mchwa. Zitto is cleary upset and in an agitated state. We all write rubbish in that state of mind.
You moron, haya nenda kaangalie kwenye kamusi...
Suala la biafra (Nigeria) na suala la ogadenia (Somalia) ni suala linalofanana katika kila kitu. Lakini Nyerere akakubaliana na Biafra, na akakataa ya Ogadenia. Suala la debeer, hata mpaka linatia kichefuchefu hata kulikumbuka. Ingawa kuna watu humu wanalitetea. After all debeer na biafra...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.