Mkuu vijana wengi hawapo serious.Wengi wanaombewa kazi kupitia stationary na hawahakiki kile kilichofanywa na mwingine kiko sahihi? Hapo kwenye suala la kuwekewa vyeti vya mtu mwingine ni uthibitisho wa hiki ninachokisema.PSRS haihusiki na kuwekea mtu vyeti kwenye profile yake.Vijana wanaoomba...
Waalimu tuache kuogopa usaili hapa ni mwendo mdudo.Shukuru mungu muda umeongezwa kwa kuhairishwa usaili sasa ni nafasi ya kupiga shule mpaka panel ikashangae ilikuwaje mpaka leo upo mtaani
Tunapokupa maswali tunapima uwezo wako wa ku retreve mambo ya mda mrefu.Haiwezekani kitu ukisomee na uwe na cheti nacho then uje useme umesahau hii no kitu hatari sana kwa ustawi wa elimu nchini. Sasa kama umesahau shuleni utaenda kukumbuka nini
Mimi ni mwalimu napendelea sana usaili ufanyike ili kupata mwl mahiri.Mwaka wa kumaliza si tatizo maana kama ulisoma ulaelewa sioni tatizo. Shida yetu waalimu tunaogopa usaili hii inaonesha tulikariri masomo pa si kuelewa.
Waalimu msikatishwe tamaa na watu wa jf.Ajira hizi mtapata kikubwa ni kuweka juhudi sana kwenye kila unachoelekezwa na PSRS.hata kama mmeitwa 300k ila nafasi ni 5 sema moyoni mwaka wangu huu na hao wa 5 mmoja ni mimi. #kaziindelee usisahau kujiandikisha kupiga kura
Mwalimu jiandae kwa usaili wa kuandika hapo soma sana mambo ya darasani.Sasa hivi Taifa litahitaji jamii bora kwa maendeleo na ustawi wa Taifa,hivyo wewe chukua namba ya mtihani iandike pembeni iweke kichwani na uzingatie tarehe uliyoandikiwa.Mambo ya venue waachie PRSRS
Hahah kuna dogo IIIA kawa shortlisted nimeona pia tangazo la PSRS kule IG wakisema kuna changes kwa baadhi zimeanza kuonekana na ambao bado waendelee kupitia profiles zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.