Yote haya kayataka GSM kudhamini timu saba na kutoa motisha kwa timu zinazocheza na Simba ili zikamie mechi matokeo yake wanacheza rafu kwenye boksi marefa wakifunika Utopolo wanakuja kulalamika JF.
Hakuna hata mechi moja kati ya zilizosalia ambazo Utopolo watashinda. MC Alger siyo timu ya kitoto. Uzoefu ni kwamba wana uwezo wa kufunga hata ugenini. Sasa kwa mabeki wale wachovu akina Bacca mjiandae kisaikolojia mkipanda zinapigwa counters imooo. Kwa Al Hilal ndio msahau kabisa. Ibenge kama...
Mkuu mbona ni rahisi sana kuelewa kuwa Mtume Muhammad rehma na amani ziwe juu yake alikuwa ni kiongozi mkubwa tu wa dola. Alipohamia Madina mwaka 622 AD Muhammad alianzisha dola ya kwanza ya Kiislam yeye akiwa kiongozi wa kidini na kisiasa. Kutokana na uongozi wake uliotukuka aliweza kuiteka...
Reynhard Bonke alikuwa anakuja nchini mara kwa mara kufanya mihadhara kuthibitisha kuwa Ukristo ndiyo dini sahihi kuliko dini zote na Yesu ndiyo njia na uzima. Katika miaka yote hiyo hatukuwahi kusikia Waislam wakiitaka Serikali imzuie. Huu muhadhara ni wa kawaida kama ile ya akina Mazinge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.