Recent content by Mzee Chayai

  1. M

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Hii ni moja ya barua zinazongojewa kwa hamu sana. Ni barua ya kuthibitisha kwamba tuhuma zile zilitengenezwa ili mwanamke yule akalie kiti kikuu.
  2. M

    JamiiForums Tanzania NMB wakwamisha Mpango wa Tonetone ya CHADEMA. Bado Vodacom

    Ushauri wangu. Chadema tumieni bank za kimataifa. Achaneni na hawa NMB. CRDB. Hizi ni bank za kijinga sana z
  3. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bunge la Ulaya (EU) lapinga Msaada wa Euro Milioni 156 (Tsh. Bilioni 440+) kwa Tanzania. Wataja Haki za Binadamu na Uchaguzi wa 2025

    Tuliambiwa na yule bwana kwamba. Alipewa barua za kutosha akazisambaza dunia nzima kueleza ya October 2025. Kumbe barua hazijafua dafu.
  4. M

    JamiiForums Tanzania CCM yaunga mkono pendekezo la kujitathmini zaidi kwa lengo la kukiimarisha zaidi

    CCm haitakuwa sawa kama ilivyokuwa tena
  5. M

    JamiiForums Tanzania Samia: Neno “Demokrasi” lisituchafulie nchi zetu, mila na desturi zetu

    Angekuwa amechaguliwa kidemokrasia basi angeihubiri sana demokrasia na angehakikisha inashamili, lakini kwa sababu mikono yake imejaa damu na midomo yake imejaa damu,na anapenda kula nyama za watu haoni shida kuona vifo, mateso na kupotea kwa watu. Huyu ni sawa na jini lililokomaa
  6. M

    JamiiForums Tanzania Zanzibar Mbioni Kuanzia "Muhimbili National Hospital Yake"

    Huku sisi tuko busy na kupoteza nyeti, mara michezo simba na yanga, wakati huo huo Zanzibar inatumia Rasilmali kutoka Tanganyika kujiendeleza.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Huyu ndo balozi mtarajiwa wa Marekani nchini Tanzania….

    Ni mtu mjinga tu ndiyo anaweza kukiheshimu hiki kimama kifupi kilichojaa damu za watoto wetu.
  8. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Lililotokea halikuwa jema kwa yeyote lakini walivyokamatwa kama mama nikasema waachieni. Yaliyotokea yametia doa kwenye Taifa letu

    Huyu mama hapaswi kuhutubia watu, wala kujiita Rais, hakuchaguliwa na watu , uraisi wake umejaa damu za watu. anapaswa kufikisha ICC mapema sana.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania yadaiwa kuwazuia Wabunge wa Ulaya (EU) Kufanya Ziara Nchini

    Hii Nchi ilipofika ni lazima watanganyika wenye akiri timamu walio na mamlaka waache ujinga, wanaruhusu vipi Mzanzibar kuifikisha nchi yetu hapa ilipofika?? Samia anaweza kurudi kwao Zanzibar , je sisi watanganyika tutarudi wapi?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Jitihada zifanyike kuhakikisha mfumo wa kupokezana urais uwe kwa zamu ya Mtanzania Bara na Mzanzibar, hii itadumisha zaidi muungano

    Huu Muungano unapasws kupingwa na kila mtanganyika mwenye akiri timamu. Kwa aliyoyafanya Samia, basi awe ni mzanzibar wa mwisho kuitawala Tanganyika. Tunataka Serikali tatu.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Imetosha Sasa! Watanganyika tuanze Maandamo Ya Kudai Haki ya Tundu Lissu

    Sisi watanganyika ni wajinga na ni wapumbavu sana. Fikiria yanayoendelea kwa Tundu Lissu, pamoja na kesi dhidi ya chadema wawezeshaji na wasimamizi ni wazanzibar. Fikiria yale mauaji ya October 2025 yalisimamiwa na mzanzibar Samia dhidi ya watanganyika. Inasikitisha kumuona Katuga na...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Bunge la Marekani: Kama Jumuiya za Kimataifa zingesimama na viongozi wa kidini na upinzani, mauaji ya Oktoba 29 yangeweza kuzuiwa

    Huyu mwanamke mfupi kwa nini wanamchelewesha?? Hakupaswa awe uraiani.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge alivyojinadi kwa Kifaransa bungeni

    Hii inchi hii
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mkuu wa nchi anajificha (katua Private Aiport huko Dubai) ndege ATC B737 with registration number 5H-TCQ. Flight number TC 4401

    Yule mwanamke ni shetani mkubwa, kinachomsumbua ni hatia aliyonayo kwa vifo vya maelfu ya watanganyika ili abaki madarakani. Hataishi kwa amani milele.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha serikali kutuma ujumbe wake kwa Papa Vatican kiwe ni ujumbe kwenu kanisa Katoliki Tanzania

    Kwa nini mnahangaika na kanisa katoliki? Makanisa yapo mengi sana, KKKT ni wa kwenu, Angalikana, Moravian, AICT, Babtist, na makabisa yoteee ya walokole. Hawa wotee wanawaunga mkono.. kwa nin msipoungwa mkono mnaugua kifafa?? Huwezi kupambana na Kanisa katoliki ukashinda, hii vita ni ngum sana...
Back
Top Bottom