Angekuwa amechaguliwa kidemokrasia basi angeihubiri sana demokrasia na angehakikisha inashamili, lakini kwa sababu mikono yake imejaa damu na midomo yake imejaa damu,na anapenda kula nyama za watu haoni shida kuona vifo, mateso na kupotea kwa watu. Huyu ni sawa na jini lililokomaa
Hii Nchi ilipofika ni lazima watanganyika wenye akiri timamu walio na mamlaka waache ujinga, wanaruhusu vipi Mzanzibar kuifikisha nchi yetu hapa ilipofika?? Samia anaweza kurudi kwao Zanzibar , je sisi watanganyika tutarudi wapi?
Huu Muungano unapasws kupingwa na kila mtanganyika mwenye akiri timamu.
Kwa aliyoyafanya Samia, basi awe ni mzanzibar wa mwisho kuitawala Tanganyika.
Tunataka Serikali tatu.
Sisi watanganyika ni wajinga na ni wapumbavu sana.
Fikiria yanayoendelea kwa Tundu Lissu, pamoja na kesi dhidi ya chadema wawezeshaji na wasimamizi ni wazanzibar.
Fikiria yale mauaji ya October 2025 yalisimamiwa na mzanzibar Samia dhidi ya watanganyika.
Inasikitisha kumuona Katuga na...
Yule mwanamke ni shetani mkubwa, kinachomsumbua ni hatia aliyonayo kwa vifo vya maelfu ya watanganyika ili abaki madarakani. Hataishi kwa amani milele.
Kwa nini mnahangaika na kanisa katoliki? Makanisa yapo mengi sana, KKKT ni wa kwenu, Angalikana, Moravian, AICT, Babtist, na makabisa yoteee ya walokole. Hawa wotee wanawaunga mkono.. kwa nin msipoungwa mkono mnaugua kifafa??
Huwezi kupambana na Kanisa katoliki ukashinda, hii vita ni ngum sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.