Recent content by Mzee Chayai

  1. M

    JamiiForums Tanzania Jussa: Rais katoka Zanzibar imekuwa nongwa, Rais alipokuwa wa kwao hawakuona Tanganyika imeuliwa

    Watanganyika walioko mamlakani wamejaa ujinga sana. Hawaelewi kama zanzibar ni nchi kamili, lakini watanganyika wamekomaa kumshabikia Samia na maujinga yake
  2. M

    JamiiForums Tanzania #FreeTunduLissu ingeweza kuwa pressure kubwa zaidi kama ingetumika kimkakati?

    Umenikumbusha slogan ya NO REFORM NO ELECTION
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kiburi na Kaburi

    Nikuhakikishie hakuna mtu mjinga na mwenye uwezo mdogo kama mama yenu, yeye mwenyewe mara kadhaa amekiri hilo.
  4. M

    JamiiForums Tanzania EAGT na TAG wamaliza tofauti zao na minyukano ya miaka mingi

    Makanisa ya kilokole ni makanisa ambayo yanalenga fedha ndiyo maana makanisa yao yanamilikiwa na watu na siyo Taasisi. na ndiyo maana huwezi kusikia mchangaji au Askofu amehamishwa. Walokole wameharibu sana ukristo.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Video: Uhaini wa Lissu uko hapa

    Mama yenu alitwambia waandamanaji walilipwa fedha ili waandamane, ni nani aliwalipa?? na ni nani alitoa order to kill?? na je uchaguzi ulifanyikaau haukufanyika?? kama ulifanyika maanake uchaguzi haukuzuiwa. na kama haukufanyika kwa sababu ya kauli ya Lissu je kura 32M alizopata mama yenu...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kiburi na Kaburi

    Magufuli alikuwa jeuri kuliko hata hicho kimama kizanzibar kifupi chenye mguu mmoja mrefu na mwingine mfupi lakini leo Magufuli yuko wapi?? nina kuhakikisha Samia atakufa na atamuacha Lissu anapumua. Kuna mtu bungeni alikuwa jeuri kama Ndugai?? au Tulia, ?? leo wako wapi?? Unamfahamu Omary...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kwa anayofanya Mbowe ni wazi wachaga wabakie kwenye biashara ila sio kwenye nafasi za uongozi wa juu kama alivyosema Nyerere

    Ni bahati mbaya sana Siasa za upinzani ziliongozwa na huyu mtu kutoka Kaskazini, hawa watu kwao fedha ni muhimu sana kuliko chochote. Fikiria mwaka 2010 au 2015 kama kiongozi wa upinzani angekuwa Kiongozi shupavu, asiyenunulika na angetokea ile kanda iliyo na wapiga kura wengi, Je ccm ingepona??
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ombi: Tujumuike na kuwajibika kuenzi umoja wetu watanzania

    Sisi watanganyika ni wajinga sana, inawezekana vipi tunaumizana kwa manufaa ya Mzanzibari Samia na genge lake?? Huyu kiumbe hajui hata anafanya nini kwenye hicho kiti, imeshathibitika kuwa uwezo wake ni mdogo sana. Nina uhakika hata hajui nchi inataka nini, au eneo fulani au wilaya fulani au...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Sijaridhishwa na kitendo cha Freeman Mbowe kujumuika pamoja na Wanaotuua

    Huyu mtu hakusitahili kuiongoza chadema, bila shaka hana sifa ya kuwa mpinzani wa kweli, asanteni sana wajumbe wa baraza kuu kwa kumpumzisha huyu siasa huyu mtu.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Hii ni moja ya barua zinazongojewa kwa hamu sana. Ni barua ya kuthibitisha kwamba tuhuma zile zilitengenezwa ili mwanamke yule akalie kiti kikuu.
  11. M

    JamiiForums Tanzania NMB wakwamisha Mpango wa Tonetone ya CHADEMA. Bado Vodacom

    Ushauri wangu. Chadema tumieni bank za kimataifa. Achaneni na hawa NMB. CRDB. Hizi ni bank za kijinga sana z
  12. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bunge la Ulaya (EU) lapinga Msaada wa Euro Milioni 156 (Tsh. Bilioni 440+) kwa Tanzania. Wataja Haki za Binadamu na Uchaguzi wa 2025

    Tuliambiwa na yule bwana kwamba. Alipewa barua za kutosha akazisambaza dunia nzima kueleza ya October 2025. Kumbe barua hazijafua dafu.
  13. M

    JamiiForums Tanzania CCM yaunga mkono pendekezo la kujitathmini zaidi kwa lengo la kukiimarisha zaidi

    CCm haitakuwa sawa kama ilivyokuwa tena
  14. M

    JamiiForums Tanzania Samia: Neno “Demokrasi” lisituchafulie nchi zetu, mila na desturi zetu

    Angekuwa amechaguliwa kidemokrasia basi angeihubiri sana demokrasia na angehakikisha inashamili, lakini kwa sababu mikono yake imejaa damu na midomo yake imejaa damu,na anapenda kula nyama za watu haoni shida kuona vifo, mateso na kupotea kwa watu. Huyu ni sawa na jini lililokomaa
  15. M

    JamiiForums Tanzania Zanzibar Mbioni Kuanzia "Muhimbili National Hospital Yake"

    Huku sisi tuko busy na kupoteza nyeti, mara michezo simba na yanga, wakati huo huo Zanzibar inatumia Rasilmali kutoka Tanganyika kujiendeleza.
Back
Top Bottom