Yule mwanamke ni shetani mkubwa, kinachomsumbua ni hatia aliyonayo kwa vifo vya maelfu ya watanganyika ili abaki madarakani. Hataishi kwa amani milele.
Kwa nini mnahangaika na kanisa katoliki? Makanisa yapo mengi sana, KKKT ni wa kwenu, Angalikana, Moravian, AICT, Babtist, na makabisa yoteee ya walokole. Hawa wotee wanawaunga mkono.. kwa nin msipoungwa mkono mnaugua kifafa??
Huwezi kupambana na Kanisa katoliki ukashinda, hii vita ni ngum sana...
NChi za Africa zinaongozwa na watu wajinga mnoo. Fikiria kuna mtu mmoja yeye alishinda kwa kupata kura 31M kati ya 32M, ambayo ni sawa na asilimia 98. Lakini mtu huyo anaogopa kutoka hadharani. Kajificha kizimkazi.
Ukishakuwa mwanasiasa tu basi unakuwa siyo binadamu wa kawaida.
Fikiria Samia aliwezaje kutoa amri watu wakauawa ili yeye aendelee kubaki madarakani?? Hiyo roho siyp roho ya kawaida.
Polisi na samia wasitufanye kama wote ni wajinga kama wao.
Mwambe kakamatwa kwa sababu ya uuzwaji wa bandar za Tanganyika.
Wakati wa utawala wa JPM, Mwambe alikuwa waziri wa viwanda na biashara, ambaye katika kipindi chake inshu ya bandari aliikataa.
Hata hivyo, baada ya dili hilo...
Unajua matokeo yake yalikuwa ni nini?? TRA ilianza kufanya Tax audit and investigation, walirudi miaka mitano nyuma na kufanya estimation mpya za kodi, kesi za uhujumu uchumi zilimiminika kama njugu na barging ilianzishwa, pesa za wananchi waliooitwa mafisadi zilitolewa bank bila approval ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.