Recent content by Mzee Chayai

  1. M

    Kwanini Mkuu wa nchi anajificha (katua Private Aiport huko Dubai) ndege ATC B737 with registration number 5H-TCQ. Flight number TC 4401

    Yule mwanamke ni shetani mkubwa, kinachomsumbua ni hatia aliyonayo kwa vifo vya maelfu ya watanganyika ili abaki madarakani. Hataishi kwa amani milele.
  2. M

    Kitendo cha serikali kutuma ujumbe wake kwa Papa Vatican kiwe ni ujumbe kwenu kanisa Katoliki Tanzania

    Kwa nini mnahangaika na kanisa katoliki? Makanisa yapo mengi sana, KKKT ni wa kwenu, Angalikana, Moravian, AICT, Babtist, na makabisa yoteee ya walokole. Hawa wotee wanawaunga mkono.. kwa nin msipoungwa mkono mnaugua kifafa?? Huwezi kupambana na Kanisa katoliki ukashinda, hii vita ni ngum sana...
  3. M

    Tetesi: ACT Wazalendo, ilikutana na Tume ya Jaji Chande na wakaomba isipigwe picha?

    Zitto Kabwe ni mmoja wa wanasiasa wa hovyo kabisa kuwahi kuwepo katika nchi yetu.
  4. M

    Matokeo halisi yavuja

    NChi za Africa zinaongozwa na watu wajinga mnoo. Fikiria kuna mtu mmoja yeye alishinda kwa kupata kura 31M kati ya 32M, ambayo ni sawa na asilimia 98. Lakini mtu huyo anaogopa kutoka hadharani. Kajificha kizimkazi.
  5. M

    Inasikitisha sana; Anakufa mwanasiasa, wananchi wanashangilia

    Ukishakuwa mwanasiasa tu basi unakuwa siyo binadamu wa kawaida. Fikiria Samia aliwezaje kutoa amri watu wakauawa ili yeye aendelee kubaki madarakani?? Hiyo roho siyp roho ya kawaida.
  6. M

    Samia ashinda tuzo ya Tyrant of the Year( Mtawala Mbaya wa Mwaka)

    Naomba kujua ameshinda kwa asilimia ngapi. Ingefaa akashinda kwa asilimia 98.
  7. M

    HOUSE OF BLOOD: Gazeti la "The Sun" la Uingereza lilivyomuita Rais Samia mchinjaji na juu ya ukatili uliofanyika kwa raia wake

    ICC Inamchelewesha huyu mtu, hapaswi kuwa mtaani. Huyu mwanamke ni mtu muovu. Mshenzi wa tabia, amejaa kiburi sijawahi kuona.
  8. M

    PostGE2025 Mwambe aachiwa kwa dhamana. Anatuhumiwa kupanga njama za kutaka kumuua Mkuu wa Polisi

    Polisi na samia wasitufanye kama wote ni wajinga kama wao. Mwambe kakamatwa kwa sababu ya uuzwaji wa bandar za Tanganyika. Wakati wa utawala wa JPM, Mwambe alikuwa waziri wa viwanda na biashara, ambaye katika kipindi chake inshu ya bandari aliikataa. Hata hivyo, baada ya dili hilo...
  9. M

    Kauli ya Samia 'Who are You' ilikuwa siyo ya kiungwana wala kidiplomasia, tunatengwa na dunia

    Unajua matokeo yake yalikuwa ni nini?? TRA ilianza kufanya Tax audit and investigation, walirudi miaka mitano nyuma na kufanya estimation mpya za kodi, kesi za uhujumu uchumi zilimiminika kama njugu na barging ilianzishwa, pesa za wananchi waliooitwa mafisadi zilitolewa bank bila approval ya...
  10. M

    Kanada kutathmini upya msaada wake kwa Serikali ya Tanzania

    Haya ni majibu ya kile kimtu kifupi, ambacho hakikisoma sana.
  11. M

    PostGE2025 Polisi: Hakuna maandamano askari wako mitaani, video zinazotumika ni za zamani

    Haya mapolisi yalitwambia hizo video ni za AI, leo yanasema ni za zamani. Upolisi ni kazi ya laana.
  12. M

    PostGE2025 ‘Ulipata’ kura zaidi ya milioni 31 lakini leo umejificha

    Samia ni moja ya watu wa hovyo kabisa kuwahi kuishi ndani ya Jamhuri ya Muugano. Anapaswa kupingwa na kila mtu mwenye akiri timamu
Back
Top Bottom